Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Amnesty 'yashtushwa' na mauaji ya halaiki nchini Uganda

    Amnesty 'yashtushwa' na mauaji ya halaiki nchini Uganda

    Nov 29, 2016 10:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kile lilichokitaja kuwa mauaji ya halaiki katika eneo la Rwenzori, kusini magharibi mwa Uganda.

  • UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    UN yatadharidha kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini

    Nov 12, 2016 04:16

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa yumkini Sudan Kusini ikatumbukia katika mauaji ya kimbari kutokana na kushadidi mapigano ya kikabila nchini humo.

  • 38 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Niger

    38 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Niger

    Nov 02, 2016 11:00

    Watu 18 wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa katika mapigano makali kati ya wakulima na wafugaji nchini Niger.

  • Ufaransa yafufua uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda

    Ufaransa yafufua uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda

    Oct 08, 2016 10:26

    Ufaransa imeanzisha tena uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Oct 01, 2016 04:42

    Habari kutoka Syria zinasema kwa akali watu 18 wameuwa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika hujuma ya maroketi iliyotekelezwa na makundi ya kitakfiri katika eneo la makazi ya watu mjini Aleppo.

  • Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Aug 02, 2016 03:00

    Jopo la uchunguzi lililotwika jukumu la kuchunguza mauaji ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria limekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika liliuawa Waislamu zaidi ya 300 katika mji wa Zaria jimbo la Kaduna.

  • Utafiti: Jinai zimeongezeka katika miji mikubwa Marekani

    Utafiti: Jinai zimeongezeka katika miji mikubwa Marekani

    Jul 31, 2016 23:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa uhalifu na jinai za kutisha zimeongeza kwa kiasi kikubwa katika miji mikubwa ya Marekani.

  • 25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jul 28, 2016 11:00

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Jul 13, 2016 10:52

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameondoka katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba pamoja na askari wanaomuunga mkono na kwenda kusikojulikana.

  • DRC yakosoa ripoti ya HRW kwamba askari wake waliua CAR

    DRC yakosoa ripoti ya HRW kwamba askari wake waliua CAR

    Jun 10, 2016 09:46

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekosoa ripoti ya hivi karibuni ya Human Rights Watch iliyodai kuwa askari wa nchi hiyo wa kulinda amani huko Jamhuri ya Afrika ya Kati waliua na kukandamiza raia wasio na hatia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS