Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Oct 01, 2016 04:42

    Habari kutoka Syria zinasema kwa akali watu 18 wameuwa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika hujuma ya maroketi iliyotekelezwa na makundi ya kitakfiri katika eneo la makazi ya watu mjini Aleppo.

  • Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Aug 02, 2016 03:00

    Jopo la uchunguzi lililotwika jukumu la kuchunguza mauaji ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria limekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika liliuawa Waislamu zaidi ya 300 katika mji wa Zaria jimbo la Kaduna.

  • Utafiti: Jinai zimeongezeka katika miji mikubwa Marekani

    Utafiti: Jinai zimeongezeka katika miji mikubwa Marekani

    Jul 31, 2016 23:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa uhalifu na jinai za kutisha zimeongeza kwa kiasi kikubwa katika miji mikubwa ya Marekani.

  • 25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jul 28, 2016 11:00

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Jul 13, 2016 10:52

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameondoka katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba pamoja na askari wanaomuunga mkono na kwenda kusikojulikana.

  • DRC yakosoa ripoti ya HRW kwamba askari wake waliua CAR

    DRC yakosoa ripoti ya HRW kwamba askari wake waliua CAR

    Jun 10, 2016 09:46

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekosoa ripoti ya hivi karibuni ya Human Rights Watch iliyodai kuwa askari wa nchi hiyo wa kulinda amani huko Jamhuri ya Afrika ya Kati waliua na kukandamiza raia wasio na hatia.

  • Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Jun 07, 2016 03:11

    Serikali ya Bangladesh imesema yumkini kuna mkono wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika wimbi la mauaji linaloendelea kushuhudiwa nchini humo.

  • Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    May 25, 2016 08:55

    Watu wasiojulikana wenye silaha wameshambulia ofisi ya chama tawala cha CNDD-FDD katika wilaya ya Ndava huko Mwaro nchini Burundi na kuuawa polisi mmoja na raia mwengine mmoja.

  • UN yagundua makaburi 50 ya umati nchini Iraq

    UN yagundua makaburi 50 ya umati nchini Iraq

    May 07, 2016 03:10

    Umoja wa Mataifa umesema makaburi ya umati zaidi ya 50 yamegunduliwa katika maeneo mbali mbali ya Iraq, baada ya vikosi vya serikali kuchukua udhibiti wa maeneo yaliyokuwa chini ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Apr 30, 2016 03:14

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS