Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Jun 07, 2016 03:11

    Serikali ya Bangladesh imesema yumkini kuna mkono wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika wimbi la mauaji linaloendelea kushuhudiwa nchini humo.

  • Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    May 25, 2016 08:55

    Watu wasiojulikana wenye silaha wameshambulia ofisi ya chama tawala cha CNDD-FDD katika wilaya ya Ndava huko Mwaro nchini Burundi na kuuawa polisi mmoja na raia mwengine mmoja.

  • UN yagundua makaburi 50 ya umati nchini Iraq

    UN yagundua makaburi 50 ya umati nchini Iraq

    May 07, 2016 03:10

    Umoja wa Mataifa umesema makaburi ya umati zaidi ya 50 yamegunduliwa katika maeneo mbali mbali ya Iraq, baada ya vikosi vya serikali kuchukua udhibiti wa maeneo yaliyokuwa chini ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Apr 30, 2016 03:14

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.

  • Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Apr 28, 2016 10:46

    Umoja wa Mataifa umetaarifiwa kuwa idadi ya watu waliouawa katika mgogoro wa kisiasa nchini Burundi yumkini imepindukia watu 1,000.

  • Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Apr 21, 2016 10:53

    Watu wanne wameuawa katika matukio mawili tofauti katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kulipiza kisasi kati ya maafisa wa serikali na waasi nchini Burundi.

  • Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 19, 2016 03:20

    Askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa ameuawa katika hujuma ya waasi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC

    Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC

    Apr 16, 2016 02:50

    Watu watatu wameuawa katika mripuko wa kile kinachoaminika kuwa bomu la kutegwa garini mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi

    Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi

    Apr 14, 2016 10:01

    Afisa wa chama tawala nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi, katika kile kinachoonekana ni wimbi la makabiliano ya kulipiza kisasi dhidi ya serikali.

  • Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Apr 13, 2016 02:55

    Mahakama ya Juu ya utawala wa kizayuni wa Israel imepitisha kuwa, nyaraka za mauzo ya silaha ya utawala huo haramu kwa serikali ya Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari katika nchi hiyo ya Kiafrika mwaka 1994, hazitawekwa wazi kwa wananchi na zitaendelea kufichwa na kubakia siri kuu ya utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS