-
Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh
Jun 07, 2016 03:11Serikali ya Bangladesh imesema yumkini kuna mkono wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika wimbi la mauaji linaloendelea kushuhudiwa nchini humo.
-
Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi
May 25, 2016 08:55Watu wasiojulikana wenye silaha wameshambulia ofisi ya chama tawala cha CNDD-FDD katika wilaya ya Ndava huko Mwaro nchini Burundi na kuuawa polisi mmoja na raia mwengine mmoja.
-
UN yagundua makaburi 50 ya umati nchini Iraq
May 07, 2016 03:10Umoja wa Mataifa umesema makaburi ya umati zaidi ya 50 yamegunduliwa katika maeneo mbali mbali ya Iraq, baada ya vikosi vya serikali kuchukua udhibiti wa maeneo yaliyokuwa chini ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita
Apr 30, 2016 03:14Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.
-
Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000
Apr 28, 2016 10:46Umoja wa Mataifa umetaarifiwa kuwa idadi ya watu waliouawa katika mgogoro wa kisiasa nchini Burundi yumkini imepindukia watu 1,000.
-
Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua
Apr 21, 2016 10:53Watu wanne wameuawa katika matukio mawili tofauti katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kulipiza kisasi kati ya maafisa wa serikali na waasi nchini Burundi.
-
Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Apr 19, 2016 03:20Askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa ameuawa katika hujuma ya waasi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC
Apr 16, 2016 02:50Watu watatu wameuawa katika mripuko wa kile kinachoaminika kuwa bomu la kutegwa garini mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi
Apr 14, 2016 10:01Afisa wa chama tawala nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi, katika kile kinachoonekana ni wimbi la makabiliano ya kulipiza kisasi dhidi ya serikali.
-
Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda
Apr 13, 2016 02:55Mahakama ya Juu ya utawala wa kizayuni wa Israel imepitisha kuwa, nyaraka za mauzo ya silaha ya utawala huo haramu kwa serikali ya Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari katika nchi hiyo ya Kiafrika mwaka 1994, hazitawekwa wazi kwa wananchi na zitaendelea kufichwa na kubakia siri kuu ya utawala huo.