Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Nigeria: Harakati ya Biafra imehusika na mauaji ya watu 55

    Nigeria: Harakati ya Biafra imehusika na mauaji ya watu 55

    Apr 11, 2016 03:28

    Polisi ya Nigeria imedai kuwa harakati ya Biafra ndiyo iliyohusika na mauaji ya hivi karibuni ya watu 55, baada ya kugundua kaburi la umati kusini mashariki mwa nchi.

  • Ban atahadharisha dhidi ya uchochezi na ubaguzi, kuepuka mauaji ya kimbari

    Ban atahadharisha dhidi ya uchochezi na ubaguzi, kuepuka mauaji ya kimbari

    Apr 08, 2016 04:35

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ili kuzuia kutokea mauaji ya kimbari, lazima jamii zote duniani zijiepushe na uchochezi na matamshi ya chuki yanayoweza kuibua mfarakano na uhasama.

  • Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Apr 02, 2016 01:49

    Tume Huru ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Buundi imeelezea wasi wasi wake kuhusiana na hali ya kiusalama na kisiasa nchini Burundi na kuongeza kwamba mamia ya watu wamekwishauawa kufikia sasa.

  • 12 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    12 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mar 06, 2016 12:59

    Watu 12 wameuliwa na watu wenye silaha katika vijiji vya Jamhuri ya Afrika ya Kati, katika mapigano ya kwanza tangu Faustin-Archange Touadera kuidhinishwa kuwa rais wa nchi hiyo, Jumanne iliyopita.

  • UN: Machafuko yameua watu 670 nchini Iraq mwezi Februari

    UN: Machafuko yameua watu 670 nchini Iraq mwezi Februari

    Mar 02, 2016 04:15

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu 670 wameuawa katika machafuko na vitendo vya kigaidi nchini Iraq kwenye mwezi uliopita wa Februari pekee.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS