-
Nigeria: Harakati ya Biafra imehusika na mauaji ya watu 55
Apr 11, 2016 03:28Polisi ya Nigeria imedai kuwa harakati ya Biafra ndiyo iliyohusika na mauaji ya hivi karibuni ya watu 55, baada ya kugundua kaburi la umati kusini mashariki mwa nchi.
-
Ban atahadharisha dhidi ya uchochezi na ubaguzi, kuepuka mauaji ya kimbari
Apr 08, 2016 04:35Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ili kuzuia kutokea mauaji ya kimbari, lazima jamii zote duniani zijiepushe na uchochezi na matamshi ya chuki yanayoweza kuibua mfarakano na uhasama.
-
Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa
Apr 02, 2016 01:49Tume Huru ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Buundi imeelezea wasi wasi wake kuhusiana na hali ya kiusalama na kisiasa nchini Burundi na kuongeza kwamba mamia ya watu wamekwishauawa kufikia sasa.
-
12 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati
Mar 06, 2016 12:59Watu 12 wameuliwa na watu wenye silaha katika vijiji vya Jamhuri ya Afrika ya Kati, katika mapigano ya kwanza tangu Faustin-Archange Touadera kuidhinishwa kuwa rais wa nchi hiyo, Jumanne iliyopita.
-
UN: Machafuko yameua watu 670 nchini Iraq mwezi Februari
Mar 02, 2016 04:15Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu 670 wameuawa katika machafuko na vitendo vya kigaidi nchini Iraq kwenye mwezi uliopita wa Februari pekee.