Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Apr 28, 2016 10:46

    Umoja wa Mataifa umetaarifiwa kuwa idadi ya watu waliouawa katika mgogoro wa kisiasa nchini Burundi yumkini imepindukia watu 1,000.

  • Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua

    Apr 21, 2016 10:53

    Watu wanne wameuawa katika matukio mawili tofauti katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kulipiza kisasi kati ya maafisa wa serikali na waasi nchini Burundi.

  • Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 19, 2016 03:20

    Askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa ameuawa katika hujuma ya waasi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC

    Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC

    Apr 16, 2016 02:50

    Watu watatu wameuawa katika mripuko wa kile kinachoaminika kuwa bomu la kutegwa garini mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi

    Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi

    Apr 14, 2016 10:01

    Afisa wa chama tawala nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi, katika kile kinachoonekana ni wimbi la makabiliano ya kulipiza kisasi dhidi ya serikali.

  • Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Israel yaktaa kufichua nafasi yake katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Apr 13, 2016 02:55

    Mahakama ya Juu ya utawala wa kizayuni wa Israel imepitisha kuwa, nyaraka za mauzo ya silaha ya utawala huo haramu kwa serikali ya Rwanda wakati wa mauaji ya kimbari katika nchi hiyo ya Kiafrika mwaka 1994, hazitawekwa wazi kwa wananchi na zitaendelea kufichwa na kubakia siri kuu ya utawala huo.

  • Nigeria: Harakati ya Biafra imehusika na mauaji ya watu 55

    Nigeria: Harakati ya Biafra imehusika na mauaji ya watu 55

    Apr 11, 2016 03:28

    Polisi ya Nigeria imedai kuwa harakati ya Biafra ndiyo iliyohusika na mauaji ya hivi karibuni ya watu 55, baada ya kugundua kaburi la umati kusini mashariki mwa nchi.

  • Ban atahadharisha dhidi ya uchochezi na ubaguzi, kuepuka mauaji ya kimbari

    Ban atahadharisha dhidi ya uchochezi na ubaguzi, kuepuka mauaji ya kimbari

    Apr 08, 2016 04:35

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ili kuzuia kutokea mauaji ya kimbari, lazima jamii zote duniani zijiepushe na uchochezi na matamshi ya chuki yanayoweza kuibua mfarakano na uhasama.

  • Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Apr 02, 2016 01:49

    Tume Huru ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Buundi imeelezea wasi wasi wake kuhusiana na hali ya kiusalama na kisiasa nchini Burundi na kuongeza kwamba mamia ya watu wamekwishauawa kufikia sasa.

  • 12 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    12 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mar 06, 2016 12:59

    Watu 12 wameuliwa na watu wenye silaha katika vijiji vya Jamhuri ya Afrika ya Kati, katika mapigano ya kwanza tangu Faustin-Archange Touadera kuidhinishwa kuwa rais wa nchi hiyo, Jumanne iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS