Mar 11, 2021 00:49
Muhammad bin Salman, mrithi wa kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia ametoa amri ya kufungwa kifungo cha nyumbani ami yake ambaye pia ni mkwewe ikiwa ni muendelezo wa kamatakamata ya mwanasiasa huyo kijana dhidi ya kila anayeonekana kuwa tishio dhidi yake.