-
Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS na mateka Wapalestina walioachiwa huru
Feb 23, 2021 06:41Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika maeneo ya Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na Baitul Muqaddas pamoja na mateka Wapalestina waliochiwa huru.
-
Wafuasi wa al Bashir wazidi kutiwa mbaroni nchini Sudan
Feb 12, 2021 07:43Operesheni za kuwatia mbaroni wafuasi wa serikali iliyopinduliwa ya Omar al Bashir zinaendelea baada ya makamu wa rais huyo wa zamani wa Sudan naye kutiwa pingu.
-
Mwanajeshi wa Marekani atiwa mbaroni kwa kushirikiana na magaidi wa Syria
Nov 29, 2020 01:31Mahakama moja ya jimbo la New Jersy la nchini Marekani imetoa amri ya kutiwa mbaroni mwanajeshi mmoja wa nchi hiyo kwa tuhuma za kushirikiana na genge la kigaidi la Tahrir al Sham lililobadilisha jina na kujiita Jabhat al Nusra nchini Syria.
-
Wanawake wa Kipalestina zaidi ya elfu 15 watiwa mbaroni na Israel kuanzia mwaka 1967 hadi sasa
Nov 26, 2020 04:34Kituo kimoja cha Utafiti Maalumu wa Masuala ya Mateka wa Kipalestina kimeripoti kuwa, zaidi ya wanawake wa Kipalestina elfu 15 wametiwa mbaroni na utawala wa Kizayuni tangu mwaka 1967 hadi sasa.
-
Kiongozi wa upinzani Belarussia 'atekwa nyara' na wasiojulikana, waandamanaji 633 watiwa nguvuni
Sep 07, 2020 14:10Maria Kolesnikova, kiongozi wa maandamano ya upinzani nchini Belarussia ametekwa nyara leo na watu wasiojulikana katika mji mkuu wa nchi hiyo Minsk.
-
Wafuasi 23 wa Omar al Bashir watiwa mbaroni nchini Sudan
May 01, 2020 13:40Polisi nchini Sudan wamewatia mbaroni wafuasi 23 wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir.
-
Israel yamkamata mkurugenzi katika Shirika la Wakfu Quds
Mar 17, 2020 01:41Utawala wa Kizayuni wa Israel umemkamata Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Wakfu wa Kiislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) huku kukiwa na tetesi kuwa Wazayuni wanalenga kumuambukiza kirusi cha corona.
-
Mwanamfalme wa nne atiwa mbaroni nchini Saudi Arabia
Mar 08, 2020 12:22Duru za habari za karibu na utawala wa kifalme wa Saudia zimeripoti habari ya kutiwa mbaroni mwanamfalme wa nne kwa amri ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.
-
Jasusi mmoja wa Marekani atiwa mbaroni mjini Beirut, Lebanon
Jan 20, 2020 13:14Maafisa usalama wa Lebanon wamemtia mbaroni mwandishi mmoja wa habari wa Kimarekani katika maandamano ya wananchi mjini Beirut kwa tuhuma za kuufanyia ujasusi utawala haramu wa Kizayuni.
-
Kuna uwezekano viongozi wa Israel wakatiwa mbaroni katika zaidi ya nchi 100 duniani
Dec 23, 2019 02:42Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel vimetangaza habari ya uwezekano wa kutiwa mbaroni viongozi wa utawala huo ndani ya zaidi ya nchi 100 za dunia, iwapo uchunguzi utaanza katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusiana na jinai za kivita zilizofanywa na Tel Aviv.