Oct 26, 2019 02:35
Wanaharakati wa haki za binaadamu nchini Saudia wameripoti habari ya kutiwa mbaroni na maafisa usalama wa nchi hiyo watu sita, kwa tuhuma ya kumkosoa mmoja wa watu wa karibu na Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.