Jun 24, 2019 07:53
Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia amemtia mbaroni Nayef bin Hathleen, mmoja wa viongozi wa makabila ya Saudia na rafiki wa karibu wa Mfalme Salman bin Abdulaziz wa nchi hiyo baada ya Hathleen kuandika barua ya kumpa nasaha mfalme wa nchi hiyo.