Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Ethiopia: File na bwawa la Renaissance si kadhia ya kimataifa

    Ethiopia: File na bwawa la Renaissance si kadhia ya kimataifa

    Apr 16, 2021 07:36

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ethiopia amepinga mpango wowote wa kulifanya suala la bwawa la Renaissance kuwa mgogoro wa kimataifa.

  • Russia yasisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Arab League

    Russia yasisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Arab League

    Apr 12, 2021 22:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitiza udharura wa Syria kurejeshewa uanachama wake katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Sudan: Hakuna ufumbuzi wa kijeshi wa mgogoro wa bwawa la Renaissance

    Sudan: Hakuna ufumbuzi wa kijeshi wa mgogoro wa bwawa la Renaissance

    Apr 09, 2021 08:57

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema kuwa, ni jambo lililo mbali kwamba mgogoro wa bwawa la Renaissance unaweza kutatuliwa kwa njia za kijeshi ili kuizuia Ethiopia kuendeleza mradi ujenzi wa bwawa hilo juu ya maji ya Mto Nile.

  • Kushindwa mara kadhaa mazungumzo kuhusu bwawa la An Nahdhah; Misri yatoa vitisho

    Kushindwa mara kadhaa mazungumzo kuhusu bwawa la An Nahdhah; Misri yatoa vitisho

    Apr 08, 2021 22:08

    Mazungumzo ya kuainisha suala la maji ya bwawa la An Nahdhah na kuanza marhala ya pili ya uingizaji maji bwawani kwa mara nyingine tena yamegonga mwamba; na kumalizika bila ya natija yoyote huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Baada ya kufeli mazungumzo hayo, Misri imeitishia Ethiopia kwamba itachukua hatua.

  • Rais wa Misri aonya kuhusu uwezekano wa kutokea vita na Ethiopia

    Rais wa Misri aonya kuhusu uwezekano wa kutokea vita na Ethiopia

    Apr 08, 2021 03:08

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri ameionya Ethiopia kuhusu kutokea vita baina ya nchi hizo mbili iwapo Addis Ababa itaendelea kushikilia msimamo wake wa kuingiza maji katika bwawa la al Nahdha.

  • Al Sisi aionya Ethiopia, asema maji ya Misri na mstari mwekundu, anayetaka kujaribu atakiona..

    Al Sisi aionya Ethiopia, asema maji ya Misri na mstari mwekundu, anayetaka kujaribu atakiona..

    Mar 30, 2021 22:35

    Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ametishia kutoa jibu lisilotasawarika iwapo nchi yake itapata madhara kutokana na bwana la Renaissance linalojengwa na Ethiopia juu ya maji ya Mto Nile.

  • Makumi wapoteza maisha baada ya treni mbili kugongana Misri

    Makumi wapoteza maisha baada ya treni mbili kugongana Misri

    Mar 26, 2021 22:33

    Makumi ya watu wameaga dunia huku wengine wengi wakijeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea kusini mwa Misri.

  • Hasara ya mabilioni ya dola baada ya Mfereji wa Suez nchini Misri kuzibwa na meli kubwa ya mizigo

    Hasara ya mabilioni ya dola baada ya Mfereji wa Suez nchini Misri kuzibwa na meli kubwa ya mizigo

    Mar 26, 2021 03:31

    Inakadiriwa kuwa kuna hasara ya dola milioni nne kwa saa baada ya meli kubwa ya kontena kuziba Mfereji wa Maji wa Suez nchini Misri. Mfereji huo ni kati ya njia zenye shughuli nyingi zaidi za meli za kibiashara duniani.

  • Makumi wapoteza maisha kwenye mkasa wa moto kiwandani Misri

    Makumi wapoteza maisha kwenye mkasa wa moto kiwandani Misri

    Mar 11, 2021 23:12

    Makumi ya watu wamefariki dunia huku wengine wengi wakijeruhiwa kutokana na ajali ya moto iliyokikumba kiwanda kimoja cha nguo katika mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds

    Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds

    Feb 27, 2021 08:37

    Mufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS