-
Misri na Imarati zatuhumiwa kuvuruga mchakato wa mapatano ya kitaifa Libya
Apr 24, 2018 11:54Jumuiya ya International Action Group for Libya imezituhumu nchi za Imarati na Misri kuwa zinavuruga jitihada zinazofanywa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mapatano ya kitaifa nchini Libya.
-
Viongozi wengi wa Ikhwanul Muslimin ya Misri wawekwa katika orodha ya magaidi
Apr 23, 2018 12:10Mahakama ya Misri imeweka idadi kubwa ya maafisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin katika orodha ya magaidi.
-
Sheikh wa al-Azhar: Beitul-Muqaddas ni ardhi ya Waislamu
Apr 21, 2018 23:17Sheikh Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar nchini Misri amesema kuwa, Beitul-Muqaddas ni ardhi ya Kiislamu na daima itaendelea kuubakia kuwa ni ya Kiislamu.
-
Sudan yaishtaki Misri kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Apr 18, 2018 12:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amewasilisha mashtaka ya nchi yake dhidi ya Misri kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya Misri kuendesha uchaguzi wa rais katika maeneo ya mpakani yanayogombaniwa ya Halaib na Shalateen.
-
Rais wa Misri arefusha hali ya hatari kwa miezi mingine mitatu
Apr 14, 2018 02:31Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ametangaza kurefusha muda wa hali ya hatari nchini humo kwa miezi mitatu mingine ambao ulianza kutekelezwa mwezi Aprili mwaka jana baada ya kujiri mashambulizi makubwa dhidi ya makanisa.
-
Human Rights Watch yaitaka Misri iheshimu haki za binadamu
Apr 11, 2018 09:12Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch limemtaka Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri kuhakikisha kuwa uvunjaji wa haki za binadamu unakomeshwa nchini mwake katika kipindi cha pili cha urais wake.
-
Jeshi la Misri laua magaidi wanne Rasi ya Sinai
Apr 08, 2018 22:08Jeshi la Misri linasema limewaua magaidi wane na kuwakamata wengine wengi katika oparesheni maalumu za kuwatimua magaidi walio katika eneo la Rasi ya Sinai.
-
Misri, Sudan na Ethiopia zashindwa kuafikiana kuhusu bwawa la al-Nahdha
Apr 06, 2018 09:50Mkutano wa Misri, Sudan na Ethiopia wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha umegonga mwamba huku pande tatu hizo zikishindwa kuafikiana.
-
Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri
Apr 03, 2018 21:59Rais Abdul Fattah al-Sisi ametangazwa mshindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa Misri baada ya kujipatia kura milioni 21 sawa na asilimia 97.08 ya kura zote na hivyo kupata ridhaa ya kuiongoza tena nchi hiyo kwa muhula wa pili.
-
Mtoto wa Mohamed Morsi: Hali ya baba ni mbaya sana katika jela nchini Misri
Mar 30, 2018 23:44Mtoto wa rais wa zamani wa Misri aliyeuzuliwa na kutiwa jela, amesema kuwa hali ya baba yake ni mbaya katika jela ya nchi hiyo na hakuna hatua zozote za maana zinazochukuliwa za kuhakikisha anapatiwa matibabu anayostahiki.