Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    May 03, 2017 03:45

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandaamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Rabat, kuonyesha uungaji mkono wao kwa wafungwa wa Kipalestina ambao wanadhalilishwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Morocco yakaribisha azimio la Baraza la Usalama la UN kuhusu Sahara Magharibi

    Morocco yakaribisha azimio la Baraza la Usalama la UN kuhusu Sahara Magharibi

    Apr 30, 2017 03:35

    Serikali ya Morocco imekaribisha azimio lililopitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sahara Magharibi.

  • Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Apr 23, 2017 07:54

    Serikali ya Morocco imeilaumu Algeria kwa kuwazingira wakimbizi wa Syria katika "mazingira yasiyo ya kibinadamu" kwenye mpaka wa kusini mwa Algeria.

  • Morocco yafungua rasmi ubalozi wake nchini Rwanda

    Morocco yafungua rasmi ubalozi wake nchini Rwanda

    Apr 15, 2017 07:55

    Uhusiano wa pande mbili wa Morocco na Rwanda unatazamiwa kuimarika baada ya serikali ya Rabat kufungua rasmi ubalozi wake mjini Kigali.

  • Hatimaye serikali mpya ya mseto Morocco yaundwa

    Hatimaye serikali mpya ya mseto Morocco yaundwa

    Apr 06, 2017 07:49

    Hatimaye serikali ya mseto ya Morocco imeundwa na viongozi kutoka vyama sita vyenye viti vingi bungeni ikiwa ni baada ya mkwamo wa kisiasa wa miezi sita.

  • Kuundwa serikali ya mseto ili kutanzua mkwamo wa kisiasa nchini Morocco

    Kuundwa serikali ya mseto ili kutanzua mkwamo wa kisiasa nchini Morocco

    Mar 27, 2017 02:43

    Baada ya miezi kadhaa ya mvutano wa kisiasa nchini Morocco, hatimaye Waziri Mkuu wa nchi hiyo ametangaza habari ya kuundwa serikali ya mseto.

  • Morocco yakubali kuunda serikali ya mseto kufumbua mkwamo wa kisiasa

    Morocco yakubali kuunda serikali ya mseto kufumbua mkwamo wa kisiasa

    Mar 26, 2017 06:31

    Waziri Mkuu mpya wa Morocco, Saadu Din al-Othmani amekubali kuunda serikali ya mseto itakayojumuisha vyama vingine vitano vya siasa , kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa muda wa mrefu wa kisiasa nchini humo.

  • UN yataka Morocco, Polisario kupunguza uhasama

    UN yataka Morocco, Polisario kupunguza uhasama

    Feb 26, 2017 07:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuendelea kwa mvutano kwenye ukanda unaotenganisha pande hasimu huko Sahara Magharibi.

  • Morocco, mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu

    Morocco, mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu

    Feb 15, 2017 15:58

    Mkutano wa saba mkuu wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Ulimwengu wa Kiislamu katika kulinda utambulisho wa Kiislamu wa "Quds Tukufu" umefanyika nchini Morocco.

  • Wanachama watatu wa Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Wanachama watatu wa Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Feb 07, 2017 07:43

    Askari usalama wa Morocco wamewatia mbaroni wanachama watatu wa kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS