Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Morocco yatishia kuvunja uhusiano wa kiuchumi na EU

    Morocco yatishia kuvunja uhusiano wa kiuchumi na EU

    Feb 07, 2017 04:01

    Serikali ya Morocco imetishia kuvunja uhusiano wake wa kiuchumi na Umoja wa Ulaya (EU).

  • Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Feb 06, 2017 07:40

    Serikali ya Rabat imesema katu haitatambua uhuru wa Jamhuri ya Sahara Magharibi licha ya Morocco kukubaliwa kurejea katika Umoja wa Afrika AU baada ya kuondoka zaidi ya miongo mitatu iliyopita.

  • Mfalme wa Morocco aitembelea Sudan Kusini

    Mfalme wa Morocco aitembelea Sudan Kusini

    Feb 02, 2017 07:18

    Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco yuko nchini Sudan Kusini katika ziara ya siku tatu iliyoanza jana Jumatano, siku moja baada ya nchi hiyo kurejea katika Umoja wa Afrika.

  • Morocco yarejea Umoja wa Afrika baada ya miaka 33

    Morocco yarejea Umoja wa Afrika baada ya miaka 33

    Jan 31, 2017 13:52

    Umoja wa Afrika AU umekubali tena uanachama wa Morocco baada ya miaka 33 wakati nchi hiyo ilijiondoa umoja huo kutokana na mgogoro wa Sahara Magharibi ambao hadi sasa haujatatuliwa.

  • Morocco kujua iwapo itarejea AU, wananchi waandamana dhidi ya serikali

    Morocco kujua iwapo itarejea AU, wananchi waandamana dhidi ya serikali

    Jan 30, 2017 07:47

    Katika hali ambayo Morocco inasubiri kujua iwapo ombi lake la kutaka kurejea katika Umoja wa Afrika litapata uungaji mkono au la katika mkutano wa AU huko Addis Ababa, wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu wamefanya maandamano wakilalamikia ufisadi wa serikali.

  • Morocco: Jammeh astaafu baada ya kumalizika muda wake wa urais

    Morocco: Jammeh astaafu baada ya kumalizika muda wake wa urais

    Jan 18, 2017 07:30

    Serikali ya Morocco imemtaka Rais Yahya Jammeh wa Gambia atumie fursa iliyopo kustaafu kwa amani baada ya kumalizika muhula wake wa uongozi.

  • Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Morocco yapiga marufuku uzalishwaji na uuzaji wa burqa

    Jan 11, 2017 15:20

    Serikali ya Morocco imepiga marufuku uzalishaji na uuzaji wa vazi la burqa linalovaliwa na baadhi ya wanawake Waislamu nchini humo.

  • Morocco yaanza kutekeleza mfumo wa Benki za Kiislamu

    Morocco yaanza kutekeleza mfumo wa Benki za Kiislamu

    Jan 05, 2017 04:34

    Serikali ya Morocco imejiunga na mfumo wa Benki za Kiislamu kwa kuanzisha benki tano za Kiislamu nchini humo.

  • Nigeria na Morocco kujenga bomba la kusafirishia gesi

    Nigeria na Morocco kujenga bomba la kusafirishia gesi

    Dec 05, 2016 03:56

    Serikali za Nigeria na Morocco zimesaini hati ya makubaliano ya kujenga bomba la kusafirishia gesi ambalo litaziunganisha nchi mbili hizo pamoja na nchi nyingine za Afrika na bara Ulaya.

  • Wamorocco wataka uadilifu dhidi ya wauaji wa muuza samaki

    Wamorocco wataka uadilifu dhidi ya wauaji wa muuza samaki

    Nov 20, 2016 15:43

    Kwa mara nyingine maelfu ya raia wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katika mji wa Al Hoceima kaskazini magharibi mwa nchi hiyo wakitaka kutekelezwa uadilifu katika faili la mauaji ya Mouchine Fikr, muuza samaki aliyeuawa mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS