Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa

    May 29, 2017 09:43

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia tena Msikiti wa al Aqsa kupitia upande wa Bab al-Magharibah na kwa mara nyingine tena kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Apr 25, 2017 10:37

    Waislamu wa maeneo mbalimbali ya dunia wameungana katika kusherehekea siku ya kubaathiwa Mtume Muhammad (saw).

  • Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina

    Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina

    Apr 14, 2017 10:17

    Walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na kupewa ulinzi na askari polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia tena na kuuvunjia heshima msikiti wa Al-Aqsa na wa Haram ya Nabii Ibrahim (as).

  • Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Apr 06, 2017 10:19

    Karibu walowezi 50 wa Kizayuni leo Alkhamisi wamekivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Masjidul Aqswa na kuuvujia heshima msikiti huo mtakatifu kwa ulinzi kamili wa polisi wa Israel.

  • Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka

    Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka

    Apr 04, 2017 03:26

    Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina amesema jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya uhalifu 99 wa aina mbalimbali dhidi ya Msikiti wa al Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim katika mwezi uliopita wa Machi pekee.

  • Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa

    Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa

    Feb 27, 2017 04:22

    Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina ametahadharisha kuhusiana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuubomoa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Mamia ya Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Mamia ya Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Feb 04, 2017 00:25

    Vyombo vya habari vya Palestina vimetangaza habari isemayo kuwa, zaidi ya walowezi 370 wa Kizayuni wameuvamia Msikiti wa al Aqsa, ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu, wiki iliyopita.

  • Wazayuni waongeza njama za kuuvamia Msikiti wa al Aqsa

    Wazayuni waongeza njama za kuuvamia Msikiti wa al Aqsa

    Feb 01, 2017 23:21

    Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset limefuta marufuku iliyokuwa inawazuia wabunge wa utawala huo kuingia ndani ya msikiti wa al Aqsa, ambacho ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Dk. Hanna Issa: Mashimo mengine kadhaa yamechimbwa chini ya msikiti wa Al-Aqsa

    Dk. Hanna Issa: Mashimo mengine kadhaa yamechimbwa chini ya msikiti wa Al-Aqsa

    Dec 30, 2016 03:44

    Kamati ya Kiislamu na Kikristo ya kuuhami mji mtukufu wa Baitul Muqaddas na matukufu yake imeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umechimba mashimo mengine kadhaa chini ya msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.

  • Wazayuni wakivunjia tena heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni wakivunjia tena heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Dec 19, 2016 00:54

    Walowezi wa Kizayuni jana Jumapili waliingia kwenye eneo la Masjidul Aqswa, Kibla cha Kwanza cha Waislamu huko Palestina na kukivunjia heshima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS