-
Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa
May 29, 2017 09:43Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia tena Msikiti wa al Aqsa kupitia upande wa Bab al-Magharibah na kwa mara nyingine tena kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.
-
Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)
Apr 25, 2017 10:37Waislamu wa maeneo mbalimbali ya dunia wameungana katika kusherehekea siku ya kubaathiwa Mtume Muhammad (saw).
-
Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina
Apr 14, 2017 10:17Walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na kupewa ulinzi na askari polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia tena na kuuvunjia heshima msikiti wa Al-Aqsa na wa Haram ya Nabii Ibrahim (as).
-
Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Apr 06, 2017 10:19Karibu walowezi 50 wa Kizayuni leo Alkhamisi wamekivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Masjidul Aqswa na kuuvujia heshima msikiti huo mtakatifu kwa ulinzi kamili wa polisi wa Israel.
-
Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka
Apr 04, 2017 03:26Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina amesema jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya uhalifu 99 wa aina mbalimbali dhidi ya Msikiti wa al Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim katika mwezi uliopita wa Machi pekee.
-
Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa
Feb 27, 2017 04:22Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina ametahadharisha kuhusiana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuubomoa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Mamia ya Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Feb 04, 2017 00:25Vyombo vya habari vya Palestina vimetangaza habari isemayo kuwa, zaidi ya walowezi 370 wa Kizayuni wameuvamia Msikiti wa al Aqsa, ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu, wiki iliyopita.
-
Wazayuni waongeza njama za kuuvamia Msikiti wa al Aqsa
Feb 01, 2017 23:21Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset limefuta marufuku iliyokuwa inawazuia wabunge wa utawala huo kuingia ndani ya msikiti wa al Aqsa, ambacho ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Dk. Hanna Issa: Mashimo mengine kadhaa yamechimbwa chini ya msikiti wa Al-Aqsa
Dec 30, 2016 03:44Kamati ya Kiislamu na Kikristo ya kuuhami mji mtukufu wa Baitul Muqaddas na matukufu yake imeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umechimba mashimo mengine kadhaa chini ya msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.
-
Wazayuni wakivunjia tena heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Dec 19, 2016 00:54Walowezi wa Kizayuni jana Jumapili waliingia kwenye eneo la Masjidul Aqswa, Kibla cha Kwanza cha Waislamu huko Palestina na kukivunjia heshima.