Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Sheikh Sabri: Kuuhamishia ubalozi wa Marekani Quds ni kutangaza vita na Wapalestina

    Sheikh Sabri: Kuuhamishia ubalozi wa Marekani Quds ni kutangaza vita na Wapalestina

    Dec 17, 2016 00:54

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, Palestina inayokaliwa kwa mabavu amesema, kuhamishiwa Baitul Muqaddas ubalozi wa Marekani ulioko Tel Aviv na kuitambua rasmi Quds kuwa mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni sawa na kutangaza vita na Wapalestina.

  • Walowezi wa Kiyahudi wauvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kiyahudi wauvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa

    Dec 05, 2016 00:40

    Makumi ya walowezi wa Kiyahudi jana Jumapili waliuvamia Msikiti Mtukufu wa al Aqsa katika mji wa Baitul Muqaddas na kulivunjia heshima eneo hilo tukufu.

  • Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds

    Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds

    Nov 17, 2016 00:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezitolea wito jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kufanya juhudi ili kuzuia kubadilishwa utambulisho wa Kiislamu wa Baitul Muqaddas.

  • Kupigwa marufuku adhana katika Msikiti wa al Aqsa, hatua mpya ya Israel katika fremu ya sera za Trump

    Kupigwa marufuku adhana katika Msikiti wa al Aqsa, hatua mpya ya Israel katika fremu ya sera za Trump

    Nov 15, 2016 04:09

    Katika fremu ya kudumisha sera za kuiyahudisha Quds tukufu na kufuta kabisa nembo na alama zote za Kiislamu katika ardhi ya Palestina, Baraza la Mawaziri la Israel limeafiki mpango wa kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds ukiwemo Msikiti wa al Aqsa.

  • Walowezi wa Kizayuni washambulia tena Masjidul Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni washambulia tena Masjidul Aqsa

    Nov 10, 2016 09:54

    Kwa mara nyingine tena walowezi wa Kizayuni wamekishambulia kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Maelfu ya Wapalestina wasali Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa

    Maelfu ya Wapalestina wasali Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa

    Oct 08, 2016 00:36

    Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki kwenye Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa licha ya vizuizi na hatua kali za usalama zilizochukuliwa na utawala wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Iran: Kuchukuliwe hatua za kimataifa kuzuia kuharibiwa Masjidul al-Aqswa

    Iran: Kuchukuliwe hatua za kimataifa kuzuia kuharibiwa Masjidul al-Aqswa

    Aug 24, 2016 03:31

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kimataifa kwa ajili ya kuzuia kubomolewa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.

  • Utawala wa Kizayuni waendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa

    Utawala wa Kizayuni waendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa

    Aug 21, 2016 23:26

    Msemaji wa Taasisi ya Waqfu na Turathi za Kiutamaduni ya Al-Aqsa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.

  • Ripoti: Israel inajiandaa kuubomoa msikiti wa Al-Aqsa na kujenga 'hekalu la tatu'.

    Ripoti: Israel inajiandaa kuubomoa msikiti wa Al-Aqsa na kujenga 'hekalu la tatu'.

    Aug 16, 2016 11:52

    Imeelezwa kuwa taasisi za utawala wa Kizayuni wa Israel zinafanya maandalizi ya kuanza kutekeleza mradi wa ubomoaji wa msikiti wa Al-Aqsa na kujenga mahala pake maabadi iitwayo "Hekalu la Tatu la Sulaiman".

  • Walowezi wa Kizayuni wazidi kufanya uvamizi katika msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wazidi kufanya uvamizi katika msikiti wa al-Aqswa

    Aug 05, 2016 23:14

    Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena jana Ijumaa walifanya uvamizi dhidi ya msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS