-
Kipindupindu chauwa watu 12 Msumbiji huku kesi za ugonjwa huo zikiongezeka Malawi
Feb 01, 2026 02:52Msumbiji imesajili vifo vya watu 12 kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika muda wa saa 24 zilizopita pamoja na kesi mpya za ugonjwa huo 135. Hii ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa jana Jumamosi.
-
Juhudi za uokoaji zinaendelea Msumbiji baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa
Jan 29, 2026 12:40Juhudi za utafutaji na uokoaji zinaendelea kufanywa nchini Msumbiji baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa iliyosababisha mafuriko makubwa, kuzamisha ardhi ya mashamba, kubomoa nyumba na miundombinu kujaa maji.
-
OCHA: Watu laki tano wameathiriwa vibaya na mafuriko Msumbiji, mamba ni tishio mijini
Jan 21, 2026 10:37Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu, OCHA nchini Msumbiji amesema, mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, yamesababisha majanga makubwa kwa maisha na mbinu za kujipatia kipato nchini humo, yakiongeza pia hatari ya mripuko wa magonjwa na kuyaweka maeneo ya mijini katika hatari ya kuzingirwa na mamba.
-
Russia na Msumbiji zathibitisha tena ushirikiano wa kiulinzi baada ya mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje
Jul 23, 2025 10:56Russia na Msumbiji zimetihibitisha kwa mara nyingine ushirikiano wa kiulinzi kati ya nchi mbili hizo kufuatia ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Msumbiji mjini Moscow.
-
Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji
Apr 10, 2025 02:54Watu wasiopungua watano wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya katika shambulio la kigaidi katika jimbo la Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji.
-
Bunge la Msumbiji lapasisha sheria kuhusu mazungumzo ya kitaifa ili kurejesha amani
Apr 03, 2025 11:34Bunge la Msumbiji kwa kauli moja limepaisha sheria ili kurejesha amani katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kufuatia miezi kadhaa ya maandamano makubwa ya ghasia ya wananchi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika Oktoba 9. Watu takriban 360 walipoteza maisha katika maandamano hayo ya ghasia.
-
SADC yataka kuhitimisha uhasama haraka iwezekanavyo nchini Msumbiji
Jan 01, 2025 03:40Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) jana Jumanne ilitoa wito wa kuhitimishwa mara moja uhasama na mivutano inayoendelea huko Msumbiji ambapo watu 278 wameuawa tangu chama kikuu cha upinzani kipinge matokeo ya uchaguzi wa Rais wa mwezi Oktoba.
-
Kimbunga Chido kinazidi kuteketeza roho za watu huko Msumbiji; Watu 94 wameaga dunia
Dec 23, 2024 14:15Taasisi ya Taifa ya Kushughulikia Majanga ya Kimaumbile ya Msumbiji (INGD) imetangaza kuwa kimbunga Chido hadi sasa kimeuwa watu 94 nchini humo tangu kilipoiathiri nchi hiyo wiki iliyopita.
-
Kimbunga Chido chaikumba Msumbiji; UN yatenga dola milioni 4 kwa ajili ya nchi hiyo
Dec 18, 2024 12:56Umoja wa Mataifa umetenga dola za kimarekani milioni 4 kuisaidia Msumbiji kukabiliana na athari mbaya za kimbunga cha kitropiki, Chido kilichopiga maeneo ya pwani nchini humo siku ya Jumapili.
-
Watu 5 wapoteza maisha katika maandamano ya ghasia nchini Msumbiji
Dec 06, 2024 12:25Polisi ya Msumbiji imeripoti kuwa watu wasiopungua watano wamepoteza maisha na wengine watatu wamejeruhiwa vibaya katika maandamano ya ghasia katika miji ya Maputo, Nampula na Zambezia.