Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Apr 10, 2025 02:54

    Watu wasiopungua watano wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya katika shambulio la kigaidi katika jimbo la Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji.

  • Bunge la Msumbiji lapasisha sheria kuhusu mazungumzo ya kitaifa ili kurejesha amani

    Bunge la Msumbiji lapasisha sheria kuhusu mazungumzo ya kitaifa ili kurejesha amani

    Apr 03, 2025 11:34

    Bunge la Msumbiji kwa kauli moja limepaisha sheria ili kurejesha amani katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kufuatia miezi kadhaa ya maandamano makubwa ya ghasia ya wananchi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika Oktoba 9. Watu takriban 360 walipoteza maisha katika maandamano hayo ya ghasia.

  • SADC yataka kuhitimisha uhasama haraka iwezekanavyo nchini Msumbiji

    SADC yataka kuhitimisha uhasama haraka iwezekanavyo nchini Msumbiji

    Jan 01, 2025 03:40

    Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) jana Jumanne ilitoa wito wa kuhitimishwa mara moja uhasama na mivutano inayoendelea huko Msumbiji ambapo watu 278 wameuawa tangu chama kikuu cha upinzani kipinge matokeo ya uchaguzi wa Rais wa mwezi Oktoba.

  • Kimbunga Chido kinazidi kuteketeza roho za watu huko Msumbiji; Watu 94 wameaga dunia

    Kimbunga Chido kinazidi kuteketeza roho za watu huko Msumbiji; Watu 94 wameaga dunia

    Dec 23, 2024 14:15

    Taasisi ya Taifa ya Kushughulikia Majanga ya Kimaumbile ya Msumbiji (INGD) imetangaza kuwa kimbunga Chido hadi sasa kimeuwa watu 94 nchini humo tangu kilipoiathiri nchi hiyo wiki iliyopita.

  • Kimbunga Chido chaikumba Msumbiji; UN yatenga dola milioni 4 kwa ajili ya nchi hiyo

    Kimbunga Chido chaikumba Msumbiji; UN yatenga dola milioni 4 kwa ajili ya nchi hiyo

    Dec 18, 2024 12:56

    Umoja wa Mataifa umetenga dola za kimarekani milioni 4 kuisaidia Msumbiji kukabiliana na athari mbaya za kimbunga cha kitropiki, Chido kilichopiga maeneo ya pwani nchini humo siku ya Jumapili.

  • Watu 5 wapoteza maisha katika maandamano ya ghasia nchini Msumbiji

    Watu 5 wapoteza maisha katika maandamano ya ghasia nchini Msumbiji

    Dec 06, 2024 12:25

    Polisi ya Msumbiji imeripoti kuwa watu wasiopungua watano wamepoteza maisha na wengine watatu wamejeruhiwa vibaya katika maandamano ya ghasia katika miji ya Maputo, Nampula na Zambezia.

  • Polisi Msumbiji yakamata kilo 573 za kokeini katika meli ya India

    Polisi Msumbiji yakamata kilo 573 za kokeini katika meli ya India

    Nov 13, 2024 02:19

    Polisi ya Msumbiji imekamata kilo 573 sawa na (pauni 1,263) za dawa za kulevya aina ya kokeini katika meli ya India. Haya yameelezwa na Idara ya Taifa ya Upelelezi ya nchi hiyo.

  • Jeshi latumwa mitaani kuzima ghasia za baada ya uchaguzi Msumbiji

    Jeshi latumwa mitaani kuzima ghasia za baada ya uchaguzi Msumbiji

    Nov 09, 2024 03:19

    Msumbiji imetuma wanajeshi mitaani kusaidia kudumisha utulivu kufuatia wiki kadhaa za maandamano ya ghasia dhidi ya chama tawala ambacho kinatuhumiwa kwa udanganyifu katika uchaguzi wa mwezi uliopita.

  • Mkuu wa Umoja wa Afrika alaani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji

    Mkuu wa Umoja wa Afrika alaani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji

    Oct 21, 2024 11:47

    Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat leo Jumatatu amelaani mauaji ya viongozi wawili wa upinzani nchini Msumbiji na kutaka uchunguzi ufanyike ili wahusika wafikishwe mbele ya sheria.

  • Wananchi wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais na wabunge

    Wananchi wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais na wabunge

    Oct 09, 2024 10:59

    Raia wa Msumbiji wasiopungua milioni 17 waliojiandikisha kupiga kura mapema leo walielekea katika vituo vya kura kwa lengo la kumchagua rais mpya, wawakilishi wa bunge na magavana wa majimbo ya nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kwa kiasi kikubwa kukibakisha madarakani chama tawala cha FRELIMO ambacho kimekuwa madarakani kwa miaka 49 sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS