Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Kipindupindu chauwa watu 12 Msumbiji huku kesi za ugonjwa huo zikiongezeka Malawi

    Kipindupindu chauwa watu 12 Msumbiji huku kesi za ugonjwa huo zikiongezeka Malawi

    Feb 01, 2026 02:52

    Msumbiji imesajili vifo vya watu 12 kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika muda wa saa 24 zilizopita pamoja na kesi mpya za ugonjwa huo 135. Hii ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa jana Jumamosi.

  • Juhudi za uokoaji zinaendelea Msumbiji baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa

    Juhudi za uokoaji zinaendelea Msumbiji baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa

    Jan 29, 2026 12:40

    Juhudi za utafutaji na uokoaji zinaendelea kufanywa nchini Msumbiji baada ya wiki kadhaa za mvua kubwa iliyosababisha mafuriko makubwa, kuzamisha ardhi ya mashamba, kubomoa nyumba na miundombinu kujaa maji.

  • OCHA: Watu laki tano wameathiriwa vibaya na mafuriko Msumbiji, mamba ni tishio mijini

    OCHA: Watu laki tano wameathiriwa vibaya na mafuriko Msumbiji, mamba ni tishio mijini

    Jan 21, 2026 10:37

    Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu, OCHA nchini Msumbiji amesema, mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, yamesababisha majanga makubwa kwa maisha na mbinu za kujipatia kipato nchini humo, yakiongeza pia hatari ya mripuko wa magonjwa na kuyaweka maeneo ya mijini katika hatari ya kuzingirwa na mamba.

  • Russia na Msumbiji zathibitisha tena ushirikiano wa kiulinzi baada ya mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje

    Russia na Msumbiji zathibitisha tena ushirikiano wa kiulinzi baada ya mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje

    Jul 23, 2025 10:56

    Russia na Msumbiji zimetihibitisha kwa mara nyingine ushirikiano wa kiulinzi kati ya nchi mbili hizo kufuatia ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Msumbiji mjini Moscow.

  • Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Apr 10, 2025 02:54

    Watu wasiopungua watano wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya katika shambulio la kigaidi katika jimbo la Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji.

  • Bunge la Msumbiji lapasisha sheria kuhusu mazungumzo ya kitaifa ili kurejesha amani

    Bunge la Msumbiji lapasisha sheria kuhusu mazungumzo ya kitaifa ili kurejesha amani

    Apr 03, 2025 11:34

    Bunge la Msumbiji kwa kauli moja limepaisha sheria ili kurejesha amani katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kufuatia miezi kadhaa ya maandamano makubwa ya ghasia ya wananchi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika Oktoba 9. Watu takriban 360 walipoteza maisha katika maandamano hayo ya ghasia.

  • SADC yataka kuhitimisha uhasama haraka iwezekanavyo nchini Msumbiji

    SADC yataka kuhitimisha uhasama haraka iwezekanavyo nchini Msumbiji

    Jan 01, 2025 03:40

    Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) jana Jumanne ilitoa wito wa kuhitimishwa mara moja uhasama na mivutano inayoendelea huko Msumbiji ambapo watu 278 wameuawa tangu chama kikuu cha upinzani kipinge matokeo ya uchaguzi wa Rais wa mwezi Oktoba.

  • Kimbunga Chido kinazidi kuteketeza roho za watu huko Msumbiji; Watu 94 wameaga dunia

    Kimbunga Chido kinazidi kuteketeza roho za watu huko Msumbiji; Watu 94 wameaga dunia

    Dec 23, 2024 14:15

    Taasisi ya Taifa ya Kushughulikia Majanga ya Kimaumbile ya Msumbiji (INGD) imetangaza kuwa kimbunga Chido hadi sasa kimeuwa watu 94 nchini humo tangu kilipoiathiri nchi hiyo wiki iliyopita.

  • Kimbunga Chido chaikumba Msumbiji; UN yatenga dola milioni 4 kwa ajili ya nchi hiyo

    Kimbunga Chido chaikumba Msumbiji; UN yatenga dola milioni 4 kwa ajili ya nchi hiyo

    Dec 18, 2024 12:56

    Umoja wa Mataifa umetenga dola za kimarekani milioni 4 kuisaidia Msumbiji kukabiliana na athari mbaya za kimbunga cha kitropiki, Chido kilichopiga maeneo ya pwani nchini humo siku ya Jumapili.

  • Watu 5 wapoteza maisha katika maandamano ya ghasia nchini Msumbiji

    Watu 5 wapoteza maisha katika maandamano ya ghasia nchini Msumbiji

    Dec 06, 2024 12:25

    Polisi ya Msumbiji imeripoti kuwa watu wasiopungua watano wamepoteza maisha na wengine watatu wamejeruhiwa vibaya katika maandamano ya ghasia katika miji ya Maputo, Nampula na Zambezia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS