Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Wananchi wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais na wabunge

    Wananchi wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais na wabunge

    Oct 09, 2024 10:59

    Raia wa Msumbiji wasiopungua milioni 17 waliojiandikisha kupiga kura mapema leo walielekea katika vituo vya kura kwa lengo la kumchagua rais mpya, wawakilishi wa bunge na magavana wa majimbo ya nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kwa kiasi kikubwa kukibakisha madarakani chama tawala cha FRELIMO ambacho kimekuwa madarakani kwa miaka 49 sasa.

  • Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Aug 29, 2024 02:51

    Mabaharia 10 wa Iran waliokuwa wanashikiliwa nchini Msumbiji wameachiliwa huru.

  • Karibu laki 1 wakimbia makwao kutoka na hujuma za wanamgambo Msumbiji

    Karibu laki 1 wakimbia makwao kutoka na hujuma za wanamgambo Msumbiji

    Mar 06, 2024 11:42

    Makumi ya maelfu ya raia wamelazimika kuyakimbia makazi yao nchini Msumbiji baada ya kuibuka tena machafuko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Kimbunga cha Freddy chaua watu wasiopungua 100 huko Malawi

    Kimbunga cha Freddy chaua watu wasiopungua 100 huko Malawi

    Mar 14, 2023 07:53

    Msumbiji na Malawi zinatathmini maafa ya Kimbunga kwa jina la Freddy, ambacho kimelikumba eneo la Kusini mwa Afrika kwa mara ya pili katika kipindi cha mwezi mmoja sasa na kusababisha uharibifu mkubwa na kuua watu wasiopungua 100 huko Malawi.

  • Mwana wa rais wa zamani wa Msumbiji na maafisa 2 wa zamani wa intelijinsia wahukumiwa kifungo jela

    Mwana wa rais wa zamani wa Msumbiji na maafisa 2 wa zamani wa intelijinsia wahukumiwa kifungo jela

    Dec 07, 2022 15:17

    Mahakama nchini Msumbiji leo imewakuhuku kifungo jela mwana wa kiume wa rais wa zamani wa nchi hiyo na wakuu wawili wa zamani wa intelijinsia kifungo cha miaka 12 kila mmoja kwa kuhusika na kashfa ya ufisadi ambapo serikali ilitaka kuficha madeni makubwa na kusababisha upoteaji wa fedha.

  • Askari wa Tanzania, Botswana wauawa Cabo Delgado, Msumbiji

    Askari wa Tanzania, Botswana wauawa Cabo Delgado, Msumbiji

    Dec 02, 2022 02:44

    Wanajeshi wawili wa kikosi cha Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC wameuawa katika makabiliano baina yao na wanamgambo katika jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji.

  • Afrika Kusini yaongeza muda wa kuhudumu wanajeshi wake huko Msumbiji

    Afrika Kusini yaongeza muda wa kuhudumu wanajeshi wake huko Msumbiji

    Apr 14, 2022 07:13

    Mkuu wa jeshi la Afrika Kusini ametahadharisha kuwa magaidi waliopo Msumbiji lazima washughulikiwe kabla ya tatizo hilo kuenea mbali zaidi.

  • Raisi atoa mwito wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Msumbiji

    Raisi atoa mwito wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Msumbiji

    Feb 23, 2022 02:51

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran ametoa mwito wa kuboreshwa uhusiano wa pande mbili baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Msumbiji katika nyuga tofauti.

  • Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Jan 27, 2022 07:49

    Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Majanga ya Malawi imesema watu 19 wamefariki dunia kutokana na kimbunga kikali cha kitropiki kilichopewa jina la Ana katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Jan 26, 2022 12:13

    Makumi ya watu wameaga dunia kutokana na kimbunga kikali kilichoipiga Madagascar kwa siku kadhaa sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS