Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Watoto Karibu Laki Nne Msumbiji wanahitaji msaada, mvua kuendelea

    Watoto Karibu Laki Nne Msumbiji wanahitaji msaada, mvua kuendelea

    Apr 28, 2019 14:32

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kwamba watoto na familia zao nchini Msumbiji wanaweza kukabiliwa na hatari ya kifo kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko.

  • Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti

    Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti

    Apr 25, 2019 16:42

    Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) imetangaza kuwa, kimbunga Kenneth kimeongezeka kasi na kinatarajiwa kufika pwani ya kusini ya Tanzania na kaskazini mwa Msumbiji kuanzia usiku wa leo. Hadi sasa wameshapokelewa watu takribani mia sita katika eneo la hifadhi. AMARI DACHI na taarifa zaidi akiripoti kutoka Dar es Salaam

  • UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    Apr 15, 2019 07:48

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.

  • Zaidi ya watu 1000 wamekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu nchini Msumbiji

    Zaidi ya watu 1000 wamekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu nchini Msumbiji

    Apr 02, 2019 13:50

    Viongozi wa idara ya Msumbiji wametangaza kwamba zaidi ya watu 1000 wameambukizwa maradhi ya kipindupindu nchini humo.

  • Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi

    Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi

    Mar 30, 2019 16:00

    Mamia ya maelfu ya watu wanahitaji misaada ya dharura ya chakula, maji na makazi baada ya Kimbunga Idai kusababisha uharibifu mkubwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.

  • Baada ya mafuriko Msumbiji, WMO yatahadharisha kuhusu mabadiliko ya tabianchi

    Baada ya mafuriko Msumbiji, WMO yatahadharisha kuhusu mabadiliko ya tabianchi

    Mar 28, 2019 07:58

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO) limesema dalili za wazi na athari za kiuchumi na kijamii zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi zinazongezeka kote duniani kukishuhudiwa kiwango kikubwa cha hewa chafuzi ya viwandani inayosababisha ongezeko la joto na kufikia viwango vya hatari.

  • Misaada ya UNCHR yaanza kuwasili Msumbiji baada ya mafuriko

    Misaada ya UNCHR yaanza kuwasili Msumbiji baada ya mafuriko

    Mar 28, 2019 07:57

    Ndege ya Shirika la kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR yenye msaada kwa watu walioathiriwa na kimbunga cha Idai imewasili Maputo, Msumbuji.

  • WHO yatahadharisha kuhusu kuibuka maradhi ya kipindupindu nchini Msumbiji

    WHO yatahadharisha kuhusu kuibuka maradhi ya kipindupindu nchini Msumbiji

    Mar 27, 2019 07:42

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusiana na kuibuka wimbi la pili la maradhi ya kipindupindu na maradhi mengine katika nchi ya Msumbiji iliyopigwa na kimbunga cha Idai hivi karibuni.

  • Msaada wa dola milioni 20 kufuatia maafa ya mafuriko kusini mwa Afrika

    Msaada wa dola milioni 20 kufuatia maafa ya mafuriko kusini mwa Afrika

    Mar 21, 2019 07:40

    Watu zaidi ya 500 wamthibitishwa kupoteza maisha Zimbabwe, Malawi na Msumbiji kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na kimbuga Idai na kuwaacha maelfu bila makazi na hivyo wanahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu. Kufuatia hali hiyo, mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa umetangaza kutoa msaada wa dola milioni 20 kusaidia waathirika.

  • Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji

    Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji

    Mar 18, 2019 07:56

    Watu zaidi ya 100 wameaga dunia na wengine wengi hawajulikani waliko katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe baada ya kimbunga cha tropiki cha Idai kuzikumba nchi hizo za kusini mwa Afrika na kusababisha mafuriko ya gharika na pepo kali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS