Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi ya Nigeria

  • Maelfu ya Wacameroon wakimbilia Nigeria wakiepa kushtadi machafuko nchini kwao

    Maelfu ya Wacameroon wakimbilia Nigeria wakiepa kushtadi machafuko nchini kwao

    Feb 14, 2020 02:41

    Wakimbizi raia wa Cameroon karibu elfu nane wamekimbilia katika maeneo ya mashariki na kusini mwa Nigeria katika kipindi cha wiki mbili zilizopita. Hayo yalielezwa jana Alhamisi na Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa.

  • Watu kadhaa wauawa licha ya uchaguzi mdogo kufanyika chini ya ulinzi mkali nchini Nigeria

    Watu kadhaa wauawa licha ya uchaguzi mdogo kufanyika chini ya ulinzi mkali nchini Nigeria

    Nov 17, 2019 11:26

    Watu kadhaa wameuawa licha ya uchaguzi wa magavana wa majimbo mawili ya Nigeria kufanyika chini ya ulinzi mkali.

  • Afrika Kusini na Nigeria zaboresha uhusiano na kufikia makubaliano ya kibiashara

    Afrika Kusini na Nigeria zaboresha uhusiano na kufikia makubaliano ya kibiashara

    Oct 04, 2019 01:39

    Afrika kusini na Nigeria jana Alhamisi zilisaini hati 30 za makubaliano ya ushirikiano, wiki kadhaa baada ya wimbi la ghasia na machafuko yaliyowalenga raia wa nchi za Afrika katika miji ya Johannesburg na Pretoria. Machafuko hayo yalivuruga uhusiano kati ya nchi mbili hizo za Afrika zenye uchumi mkubwa.

  • Madaktari waruhusiwa kumfanyia uchunguzi wa kiafya Sheikh Ibrahm Zakzaky

    Madaktari waruhusiwa kumfanyia uchunguzi wa kiafya Sheikh Ibrahm Zakzaky

    Apr 27, 2019 02:42

    Hatimaye timu ya madaktari imeruhusiwa kumfanyia uchunguzi wa kiafya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye angali anashikiliwa kizuizini.

  • UN: Kusimamishwa Jaji Mkuu wa Nigeria kumekiuka haki za binadamu

    UN: Kusimamishwa Jaji Mkuu wa Nigeria kumekiuka haki za binadamu

    Feb 11, 2019 14:23

    Hatua ya kumsimamisha Jaji Mkuu wa Nigeria iliyochukuliwa na rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari imekiuka vipimo vya kimataifa vya haki za binadamu kuhusu uhuru wa vyombo vya mahakama na utenganishaji wa mihimili ya madaraka ya dola.

  • Lori laponda kundi la watu na kuua 20 nchini Nigeria

    Lori laponda kundi la watu na kuua 20 nchini Nigeria

    Jan 13, 2019 16:23

    Maafisa wa Nigeria wametangaza kuwa, lori moja limevamia kundi la watu katika soko moja lenye mrundikano mkubwa wa watu kusini mwa nchi hiyo na kuua watu wasiopungua 20.

  • Mafuriko Nigeria yauwa watu 199; mamia wakosa makazi

    Mafuriko Nigeria yauwa watu 199; mamia wakosa makazi

    Oct 11, 2018 08:15

    Mafuriko yaliyoyaathiri maeneo mengi ya katikati na kusini mwa Nigeria yamesababisha vifo vya watu 199 hadi sasa. Hayo yameelezwa na Idara ya Kukabiliana na Majanga ya nchi hiyo.

  • Watu watano wauawa na wanamgambo wa Boko Haram Nigeria

    Watu watano wauawa na wanamgambo wa Boko Haram Nigeria

    Dec 14, 2017 07:42

    Watu wasiopungua watano wameuawa katika shambulio la hivi kkaribuni kabisa la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanigeria waandamana kutaka Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu aachiliwe huru

    Wanigeria waandamana kutaka Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu aachiliwe huru

    Nov 26, 2017 03:45

    Wanawake wameandamana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja wakitaka serikali imuachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake.

  • Jeshi la Nigeria lawakomboa raia wa Cameroon waliokuwa wametekwa nyara na B/Haram

    Jeshi la Nigeria lawakomboa raia wa Cameroon waliokuwa wametekwa nyara na B/Haram

    Nov 12, 2017 13:45

    Jeshi la Nigeria limewakomboa raia wa Cameroon zaidi ya 300 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS