-
Kukosoa Guterres ukiritimba na ugavi usio wa kiadilifu wa chanjo ya Corona baina ya mataifa ya dunia
Apr 06, 2021 12:22Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena amekosoa namna chanjo ya corona inavyozalishwa na kugawiwa baina ya nchi mbalimbali duniani.
-
Assad: Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi zinawazuia wakimbizi wasirudi Syria
Nov 11, 2020 14:46Rais Bashar al Assad wa Syria amesema Marekani na baadhi ya nchi za Magharibi zinawazuia wakimbizi wa Syria wasirudi nchini kwao.
-
Taarifa ya mataifa 26 ya dunia ya kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani
Oct 07, 2020 03:11Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kigeni inashikilia rekodi ya kuwa dola lililoyawekea mataifa mengine ya dunia vikwazo vya upande mmoja.
-
Rais wa Zimbabwe awashambulia Wamagharibi kwa kuingilia masuala ya ndani ya Afrika
May 26, 2020 02:27Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amezishambulia vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuingilia masuala ya ndani ya mataifa ya Afrika.
-
Afisa wa zamani wa CIA: Trump amebomoa muungano wa nchi za Magharibi
Jul 29, 2019 04:20Afisa wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amesema kuwa rais wa nchi hiyo amebomoa muungano wa nchi za Magharibi.
-
Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija
Jun 09, 2019 03:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija yoyote.
-
Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani zaiomba radhi Afrika Kusini
Feb 05, 2019 16:00Balozi za nchi tano za Magharibi nchini Afrika Kusini zimemuandikia barua ya kuomba radhi Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo, baada ya kukiuka protokali za kibalozi.
-
Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen
Mar 23, 2018 14:08Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani mwenendo wa nchi za Magharibi hususan Marekani wa kuendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia ikisisitiza kuwa utawala wa Riyadh umefanya jinai za kivita nchini Yemen.
-
Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibaya
Sep 26, 2017 08:15Balozi wa Ujerumani mjini Washington, Marekani sambamba na kukiri kwamba nchi za Magharibi zinawasaidia magaidi kufanya jinai nchini Syria, amesema kwamba, tulikuwa na hamu kubwa ya kuipindua serikali ya Bashar al Assad lakini tumeshindhwa vibaya sana.
-
Waarabu wapinga nchi za Magharibi kuingilia kati Libya
Mar 05, 2016 17:14Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa raia wa nchi za Kiarabu wanapinga uingiliaji kijeshi wa nchi za Magharibi huko Libya.