Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Jumuiya ya ECOWAS yaiondolea vikwazo Niger

    Jumuiya ya ECOWAS yaiondolea vikwazo Niger

    Feb 25, 2024 09:51

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS imetangaza habari ya kuiondolea Niger vikwazo vya kiuchumi na kifedha.

  • Burkina Faso, Mali na Niger zatupilia mbali kanuni ya kubaki kwenye ECOWAS kwa muda wa mwaka mmoja

    Burkina Faso, Mali na Niger zatupilia mbali kanuni ya kubaki kwenye ECOWAS kwa muda wa mwaka mmoja

    Feb 08, 2024 11:39

    Siku kumi baada ya kutangaza kujitoa katika Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS, Burkina Faso, Mali na Niger zimetangaza kuwa, zinakusudia kujiondoa mara moja, licha ya kuwepo kanuni inayozitaka zibaki katika jumuiya hiyo kwa muda wa mwaka mmoja kabla ya kutekeleza rasmi uamuzi huo.

  • Kujiondoa Mali, Niger na Burkina Faso kwenye Jumuia ya ECOWAS

    Kujiondoa Mali, Niger na Burkina Faso kwenye Jumuia ya ECOWAS

    Jan 30, 2024 07:22

    Nchi tatu za Niger, Burkina Faso na Mali zimetangaza kujiondoa kwenye Jumuia ya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika ECOWAS kutokana na kutokuwa na imani na siasa na sera za jumuia hiyo.

  • Mali, Burkina Faso na Niger zajiondoa kwenye jumuiya ya ECOWAS

    Mali, Burkina Faso na Niger zajiondoa kwenye jumuiya ya ECOWAS

    Jan 29, 2024 03:03

    Tawala za kijeshi katika nchi za Mali, Burkina Faso na Niger zimetangaza kuyaondoa 'mara moja' mataifa kwenye Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS).

  • Kukuza uhusiano na nchi za Afrika, moja ya mihimili ya sera za kigeni za Iran

    Kukuza uhusiano na nchi za Afrika, moja ya mihimili ya sera za kigeni za Iran

    Jan 28, 2024 04:35

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja msingi wa uhusiano wa Tehran na nchi za Kiafrika kuwa ni mungamano wa kiroho baina ya mataifa hayo na kwamba uhusiano huo ni moja ya mihimili mikuu ya siasa za nje za Iran.

  • Raisi: Msingi wa uhusiano wa Iran na Afrika ni maslahi ya pamoja

    Raisi: Msingi wa uhusiano wa Iran na Afrika ni maslahi ya pamoja

    Jan 25, 2024 11:13

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Iran na Mali pamoja na nchi nyingine za Afrika si wa kisiasa na kidiplomasia tu, bali umejengeka katika msingi wa maslahi ya pande mbili na pande kadhaa.

  • Kufungwa ubalozi wa Ufaransa nchini Niger

    Kufungwa ubalozi wa Ufaransa nchini Niger

    Jan 04, 2024 04:41

    Hatimaye ubalozi wa Ufaransa umefungwa rasmi nchini Niger miezi kadhaa baada ya kufanyika marekebisho ya kisiasa na Baraza la Kijeshi kuchukua uongozi wa nchi, ambapo lilisisitiza kuondoka vikosi vya kijeshi na kukomeshwa satwa ya Ufaransa katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Waniger washerehekea kufikia tamati uwepo wa askari wa Ufaransa nchini humo+VIDEO

    Waniger washerehekea kufikia tamati uwepo wa askari wa Ufaransa nchini humo+VIDEO

    Dec 30, 2023 11:16

    Wananchi wa matabaka mbalimbali nchini Niger wamefanya sherehe maalumu ya kufurahia kufikia tamati uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Kufikia kikomo uwepo wa kijeshi wa Ufaransa nchini Niger; ushindi kwa Waniger

    Kufikia kikomo uwepo wa kijeshi wa Ufaransa nchini Niger; ushindi kwa Waniger

    Dec 24, 2023 11:10

    Miezi kadhaa baada ya kutokea mabadiliko ya kisiasa nchini Niger na sisitizo la Baraza la Kijeshi la kuondoka vikosi vya kijeshi vya Ufaransa katika ardhi ya nchi hiyo, hatimaye kundi la mwisho la askari wa Paris liliondoka Niger siku chache zilizopita.

  • Mwisho wa kuwepo kijeshi  Ufaransa nchini Niger, ushindi kwa Waniger

    Mwisho wa kuwepo kijeshi Ufaransa nchini Niger, ushindi kwa Waniger

    Dec 23, 2023 06:39

    Kuwepo kijeshi Ufaransa nchini Niger kumemalizika kwa kuondoka kundi la mwisho la wanajeshi wa nchi hiyo huko Niamey mji mkuu wa Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS