Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • AU, UN zalaani mashambulizi ya kigaidi yaliyoua 170 Nigeria

    AU, UN zalaani mashambulizi ya kigaidi yaliyoua 170 Nigeria

    Feb 06, 2026 06:22

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na nchi mbali mbali duniani sambamba na kutoa salamu za rambirambi, zimelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyoua watu wasiopungua 170 magharibi mwa Nigeria.

  • Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika

    Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika

    Feb 05, 2026 07:08

    Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Afrika.

  • Wabeba silaha waua watu wanaokaribia 200 kwenye majimbo ya Kwara na Katsina, Nigeria

    Wabeba silaha waua watu wanaokaribia 200 kwenye majimbo ya Kwara na Katsina, Nigeria

    Feb 05, 2026 06:04

    Watu wenye silaha wamewaua karibu watu 200 magharibi na kaskazini mwa Nigeria. Hayo yameelezwa na maafisa wa serikali na wakazi wa maeneo hayo huku manusura wakiwazika wenzao waliouawa na askari wa vikosi vya usalama wakiwasaka washambuliaji.

  • Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani

    Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani

    Feb 04, 2026 10:24

    Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la mwamko wa kihistoria dhidi ya dhulma na ubeberu wa maajinabi, akiyaelezea mapinduzi hayo kama kigezo cha mataifa yanayokandamizwa duniani kote.

  • Nigeria yawafungulia mashtaka watu 9 kwa mauaji ya watu 150 mwaka jana huko Yelwata

    Nigeria yawafungulia mashtaka watu 9 kwa mauaji ya watu 150 mwaka jana huko Yelwata

    Feb 03, 2026 08:07

    Waendesha mashtaka wamewafungulia mashtaka watu tisa kwa makosa ya ugaidi kuhusiana na moja ya mauaji mabaya zaidi yaliyojiri jimbo la Benue mnamo mwezi Juni mwaka jana. Mauaji hayo yalilenga pakubwa jamii ya Yelwata.

  • Milio ya risasi yasikika mapema leo karibu na uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Niger

    Milio ya risasi yasikika mapema leo karibu na uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Niger

    Jan 29, 2026 12:33

    Milio ya risasi ilisikika mapema leo karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji mkuu wa Niger, Niamey kabla ya hali ya utulivu kurejea.

  • Wanajeshi 8 wa Nigeria wauawa katika shambulio la Boko Haram Borno

    Wanajeshi 8 wa Nigeria wauawa katika shambulio la Boko Haram Borno

    Jan 22, 2026 06:02

    Wanajeshi wanane wa Nigeria wameuawa huku wengine 50 wakijeruhiwa baada ya wapiganaji wa genge la kigaidi la Boko Haram kushambulia kambi ya kijeshi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Nigeria yauwa magaidi 40 wa Boko Haram katika operesheni za anga

    Nigeria yauwa magaidi 40 wa Boko Haram katika operesheni za anga

    Jan 19, 2026 11:34

    Jeshi la Anga la Nigeria limetangaza kuwua limeuwa takriban magaidi 40 wa Boko Haram katika mashambulizi ya anga mtawalia iliyofanya mapema wiki hii katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Mwanachuoni Nigeria: Israel itafutwa katika uso wa dunia ikiishambulia tena Iran

    Mwanachuoni Nigeria: Israel itafutwa katika uso wa dunia ikiishambulia tena Iran

    Jan 08, 2026 06:08

    Mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu wa kaskazini mashariki mwa Nigeria amezionya Israel na Marekani dhidi ya kufanya mashambulizi yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran, akisema matokeo yake yatakuwa mabaya zaidi kuliko yale ya vita vya siku 12 vya mwezi Juni mwaka uliopita 2025, na kuilazimisha Israel kuomba usitishaji vita.

  •  Magaidi washambulia soko katika jimbo la Niger, Nigeria na kuuwa watu wasiopungua 50

    Magaidi washambulia soko katika jimbo la Niger, Nigeria na kuuwa watu wasiopungua 50

    Jan 05, 2026 07:55

    Polisi wa Nigeria wameripoti kuwa watu wasiopungua 50 wameuawa katika shambulio lililofanywa na magaidi wenye silaha katika soko la kijiji katika Wilaya ya Kabe, eneo la Serikali ya Mtaa ya Borgu katika Jimbo la Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS