Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Sauti za milio ya risasi zasikika karibu na kambi ya kijeshi katika mji mkuu wa Niger, Niamey

    Sauti za milio ya risasi zasikika karibu na kambi ya kijeshi katika mji mkuu wa Niger, Niamey

    Aug 29, 2026 10:38

    Wakazi wa Niamey, mji mkuu wa Niger wameeleza kuwa milio za risasi zimesika usiku wa kuamkia leo Jumamosi karibu na kambi ya kijeshi katika uwanja wa ndege wa kimataifa ambao mwaka huu umeshambuliwa mara mbili na wanamgambo wanaobeba silaha.

  • Utafiti: Makundi ya wanamgambo Nigeria yamepata karibu dola milioni 6 kupitia malipo ya kikomboleo

    Utafiti: Makundi ya wanamgambo Nigeria yamepata karibu dola milioni 6 kupitia malipo ya kikomboleo

    Aug 27, 2026 11:54

    Utafiti mpya umebaini kuwa makundi yenye silaha nchini Nigeria yamekusanya karibu dola milioni 6 kama malipo ya kikomboleo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, huku visa vya utekaji nyara vikiongezeka kwa kasi katika nchi hiyo yenye idadi kubwa zaidi ya watu barani Afrika.

  • Nigeria yaagiza kufanyika msako baada ya kutekwa nyara watu wengi

    Nigeria yaagiza kufanyika msako baada ya kutekwa nyara watu wengi

    Aug 27, 2026 04:22

    Rais Bola Tinubu wa Nigeria ameviagiza vyombo vya usalama kuwasaka watu wenye silaha wanaotuhumiwa kuua makumi ya watu na kuwateka nyara wakazi wa vijiji vinne katika jimbo la Niger linalopatikana kaskazini- kati nchini humo.

  • Miili ya watoto 40 yapatikana katika ajali ya boti iliyotokea jimboni Sokoto, Nigeria

    Miili ya watoto 40 yapatikana katika ajali ya boti iliyotokea jimboni Sokoto, Nigeria

    Aug 21, 2026 06:03

    Makumi ya watu wamefariki dunia baada ya boti kuzama katika jimbo la kaskazini magharibi mwa Nigeria la Sokoto.

  • Nigeria inachunguza shambulio lililosababisha vifo vya watu  25 katika jimbo la Plateau

    Nigeria inachunguza shambulio lililosababisha vifo vya watu 25 katika jimbo la Plateau

    Aug 19, 2026 04:12

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika shambulio dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria.

  • Raia zaidi ya 300 waliotekwa nyara Nigeria waokolewa katika operesheni kubwa

    Raia zaidi ya 300 waliotekwa nyara Nigeria waokolewa katika operesheni kubwa

    Aug 06, 2026 11:02

    Nigeria imesema kuwa zaidi ya watu 300 waliotekwa nyara katika mashambulizi tofauti ya watu wenye silaha wameokolewa kupitia operesheni ya pamoja ya kiintelijensia na kiusalama.

  • Watu wenye silaha waua raia wasiopungua 30 jimboni Kaduna, Nigeria

    Watu wenye silaha waua raia wasiopungua 30 jimboni Kaduna, Nigeria

    Jul 28, 2026 14:02

    Watu wasiopungua 30 wameuawa wakati genge la wenye silaha liliposhambulia kijiji kimoja katika jimbo la Kaduna kaskazini magharibi mwa Nigeria. Hayo yamethibitishwa na wakazi wawili wa kijiji hicho.

  • Wakulima 26 wazikwa baada ya shambulio la majambazi kaskazini-magharibi mwa Nigeria

    Wakulima 26 wazikwa baada ya shambulio la majambazi kaskazini-magharibi mwa Nigeria

    Jul 25, 2026 11:05

    Wakulima 26 waliouawa katika shambulio la majambazi katika Jimbo la Zamfara, kaskazini-magharibi mwa Nigeria, walizikwa siku ya Ijumaa.

  • UNICEF yahimiza ulinzi wa watoto wakati wa migogoro ya usalama na binadamu

    UNICEF yahimiza ulinzi wa watoto wakati wa migogoro ya usalama na binadamu

    Jul 18, 2026 11:51

    Mkuu wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametembelea kaskazini magharibi mwa Nigeria, wakati migogoro, umaskini na ukosefu wa usalama wa chakula vikiwalazimisha mamilioni ya watoto katika eneo hilo kuhitaji msaada ya dharura.

  • Mkuu wa wakala bandia wa serikali ya Nigeria akamatwa baada ya kuwa mafichoni kwa wiki kadhaa

    Mkuu wa wakala bandia wa serikali ya Nigeria akamatwa baada ya kuwa mafichoni kwa wiki kadhaa

    Jul 15, 2026 15:36

    Polisi ya Nigeria imemtia mbaroni mtu aliyeanzisha wakala bandia wa serikali uliokuwa ukifanyia kazi zake katika ofisi ya Rais kwa karibu miaka miwili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS