-
AU yatakiwa iingilie kati mgogoro wa Nigeria, ECOWAS yatoa neno
Oct 22, 2020 04:15Asasi za kiraia na mashirika ya kutetea haki za binadamu yametoa mwito kwa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini kama Mwenyekiti wa mzunguko wa Umoja wa Afrika, kuingilia kati mgogoro na machafuko ya umwagaji damu yanayoendelea kushuhudiwa nchini Nigeria.
-
Sheria ya kutotoka nje Nigeria yatangazwa baada ya ghasia na kuuawa waandamanaji
Oct 21, 2020 09:24Sheria ya kutotoka nje imetangazwa katika mji wa Lagos nchini Nigeria huku ghasia zikienea nchini humo kupinga ukatili wa polisi.
-
Watu 10 wauawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili wa polisi
Oct 14, 2020 04:21Watu wasiopungua 10 wameuawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili na ukandamizi unaotekelezwa na polisi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota
Oct 12, 2020 09:59Binti wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, hali ya kiafya ya baba na mama yake ni mbaya mno kutokana na kiongozi huyo kuzuiawa kupatiwa matibabi.
-
Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 12 kaskazini mwa Nigeria
Oct 12, 2020 04:13Watu kadhaa waliokuwa na silaha wamevamia vijiji viwili kaskazini mwa Nigeria na kuua watu wasiopungua 12 na kujeruhi wengine 8.
-
Maandamano ya kutaka kuvunjwa kikosi katili cha polisi Nigeria yashtadi
Oct 11, 2020 08:58Maandamano ya nchi nzima ya wananchi wa Nigeria wanaotaka kuvunjwa Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujambazi (SARS) cha Jeshi la Polisi yamechachamaa.
-
Wanachama 13 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Nigeria
Sep 28, 2020 08:17Wanachama 13 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wamejisalimisha kwa jeshi la Nigeria, katika operesheni iliyolenga kusafisha mabaki ya wanamgambo hao huko kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Waliouawa katika shambulizi la Boko Haram Nigeria waongeza
Sep 27, 2020 04:29Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi ya msafara wa Gavana wa jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka na kufikia watu 30.
-
28 wauawa katika mripuko wa lori la mafuta Nigeria
Sep 24, 2020 00:01Kwa akali watu 28 wamepoteza maisha katika mripuko wa lori la mafuta katika jimbo la Kogi, katikati mwa Nigeria.
-
Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati
Sep 23, 2020 23:13Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria zimetilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wao katika nyuga mbalimbali hasa za nishati kwa kadiri inavyowezekana.