-
UN: Mapigano yamefanya watu 40,000 wakimbie Nigeria
Sep 28, 2019 07:44Umoja wa Mataifa umesema mapigano na ghasia huko kaskazini magharibi mwa Nigeria zimefanya makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wakimbilie usalama wao katika nchi jirani ya Niger.
-
Mamia ya watoto waliokuwa wakishikiliwa mateka Nigeria waokolewa
Sep 27, 2019 23:09Jeshi la Polisi la Nigeria limetangaza habari ya kuwakomboa watu 300, aghalabu yao wakiwa watoto wadogo, ambao walikuwa wameshikwa mateka ndani ya jengo moja katika mji wa Kaduna, kaskazini mwa nchi.
-
DAESH (ISIS) laua askari 14 katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 26, 2019 04:05Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limetangaza kuwa, limewaua askari 14 wa jeshi la Nigeria katika shambulio lililofanya hapo jana katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Makumi ya watu waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru
Sep 24, 2019 04:40Makumi ya watu waliokuwa wametekwa nyara na watu wenye silaha kaskazini magharibi mwa nchi ya Nigeria kwa miezi kadhaa sasa hatimaye wameachiwa huru.
-
Makamanda 7 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wauawa nchini Nigeria
Sep 21, 2019 23:01Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, kwa akali limewaua makamanda saba wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni dhidi ya wanamgambo hao iliyoendeshwa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na majeshi mengine ya nchi kadhaa katika Ukanda wa Ziwa Chad.
-
Mamia ya Wanigeria wamerejea nyumbani wakihofia mashambulizi ya xenophobia
Sep 20, 2019 03:53Maafisa wa serikali ya Nigeria wametangaza kuwa raia zaidi ya 300 wa nchi hiyo wamerejea nyumbani hadi sasa kutoka Afrika Kusini kwa kuhofia mashambulizi yanayowalenga raia wa nchi za Kiafrika wanaoishi nchini humo.
-
Boko Haram yaua watu 9 kwa mishale, mikuki na mapanga Nigeria
Sep 19, 2019 09:58Watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameshambulia kijiji kimoja huko kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua watu tisa.
-
Magaidi wa Boko Haram waua wanajeshi 9 wa Nigeria
Sep 12, 2019 07:22Magaidi wa kundi la Boko Haram wameshambulia kituo cha kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuwaua wanajeshi tisa.
-
Mamia ya raia wa Nigeria warejea nyumbani kutoka Afrika Kusini, Xenophobia yaendela kuchoche ghasia
Sep 12, 2019 02:31Mamia ya raia wa Nigeria waondoka nchini Afrika Kusini na kureje nchini kwao wiki moja baada ya kushadidi ghasia na mauaji yanayowalenga raia wa kigeni hususan Waafrika wanaoishi nchini humo.
-
Kuendelea uadui dhidi ya Waislamu wa Nigeria; 12 wauawa shahidi katika kumbukumbu ya Ashura
Sep 11, 2019 06:43Ikiwa ni katika kuendeleza siasa za chuki na uadui za serikali ya Nigeria dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo, vikosi vya usalama jana viliwafyatulia risasi Waislamu walioshiriki katika kumbukkumbu ya Ashura na kuwaua shahidi kwa akali waombolezaji 12 na kuwajeruhi makumi ya wengine.