Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Polisi ya Nigeria yaanzisha wimbi jipya la ukandamizaji dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky sambamba na kuwadia Muharram

    Polisi ya Nigeria yaanzisha wimbi jipya la ukandamizaji dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky sambamba na kuwadia Muharram

    Sep 01, 2019 03:22

    Sambamba na kuwadia mwezi wa Muharram, jeshi la polisi nchini Nigeria limetoa amri ya kushadidishwa ukandamizaji dhidi ya wafuasi na waungaji mkono wa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Magaidi wa kaskazini mwa Nigeria waua raia 11

    Magaidi wa kaskazini mwa Nigeria waua raia 11

    Aug 30, 2019 07:57

    Magaidi wa Nigeria wanaodhaniwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameua raia wasiopungua 11 huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Njama mpya za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Zakzaky

    Njama mpya za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Zakzaky

    Aug 29, 2019 07:48

    Serikali ya Nigeria imeanzisha njama mpya dhidi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky na kudai kwamba eti anapanga njama za mapinduzi.

  • Watu zaidi ya 50 watekwa nyara kaskazini magharibi mwa Nigeria

    Watu zaidi ya 50 watekwa nyara kaskazini magharibi mwa Nigeria

    Aug 29, 2019 03:17

    Watu wasiojulikana wamewateka nyara raia wasiopungua 50 katika shambulizi walilolifanya kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Watu 11 watekwa nyara kaskazini mwa Cameroon

    Watu 11 watekwa nyara kaskazini mwa Cameroon

    Aug 23, 2019 02:27

    Wanamgambo wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko haram wamewateka nyara watu 11 katika eneo moja la kaskazini mwa Cameroon.

  • Watu 16 wauawa katika mashambulio dhidi ya vijiji kadhaa nchini Nigeria

    Watu 16 wauawa katika mashambulio dhidi ya vijiji kadhaa nchini Nigeria

    Aug 21, 2019 03:21

    Watu wasiopungua 16 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kushambulia vijiji kadhaa katiika jimbo la Katsina kaskazini mwa Nigeria.

  • Waislamu waandamana Abuja, Nigeria wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Waislamu waandamana Abuja, Nigeria wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Aug 20, 2019 22:21

    Waislamu katika mji wa Abuja nchini Nigeria wameandamana wakitaka kuachwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • Serikali ya Nigeria yaendeleza njama dhidi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo

    Serikali ya Nigeria yaendeleza njama dhidi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo

    Aug 20, 2019 07:38

    Askari usalama wa Nigeria wameendeleza vitimbi na njama zao dhidi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky na kumpeleka mahala pasipojulikana.

  • Njama ya serikali ya Nigeria; safari ya kitiba ya Sheikh Zakzaky yakatizwa

    Njama ya serikali ya Nigeria; safari ya kitiba ya Sheikh Zakzaky yakatizwa

    Aug 17, 2019 06:41

    Katika hali ambayo Waislamu wa Nigeria walikuwa na matumaini makubwa ya kutibiwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakayi ya Kiislamu ya Nigeria huko India, serikali ya Niigeria imetoa mashinikizo na kumlazimu sheikh huyo na mkewe kurea mjini Abuja.

  • Serikali ya Nigeria inajaribu kumuua Sheikh Zakzaky

    Serikali ya Nigeria inajaribu kumuua Sheikh Zakzaky

    Aug 16, 2019 02:33

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imetangaza kuwa, serikali ya nchi hiyo inajaribu kumuua kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS