-
Kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kwenda India; matunda ya juhudi za Waislamu wa Nigeria
Aug 13, 2019 07:09Hatimaye juhudi za Waislamu wa Nigeria zimezaa matunda baada ya mahakama nchini Nigeria kuruhusu Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo asafiri kuelekea nchini India kwa ajili ya matibabu.
-
Madaktari wa nchi 7 waiandikia barua serikali ya Nigeria, wataka Sheikh Zakzaky apewe matibabu
Aug 11, 2019 22:14Makumi ya madaktari kutoka nchi 7 duniani wameiandikia barua serikali ya Nigeria wakikumbusha hali mbaya ya kiafya ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky na kutaka apewe matibabu haraka iwezakanavyo.
-
Serikali ya Nigeria yaweka masharti mapya ya kuachiwa Sheikh Zakzaky kwa ajili ya matibabu
Aug 09, 2019 02:48Serikali ya Nigeria imetangaza masharti mapya kwa ajili ya kutoa ruhusa ya safari kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu.
-
Save the Children: Zaidi ya watoto 500 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola huko DRC
Aug 08, 2019 03:43Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Watoto la Save the Children limetangaza kuwa, zaidi ya watoto 500 wamekufa kwa maradhi ya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, tangu ugonjwa huo ulipoanza kushuhudiwa nchini humo mwaka mmoja uliopita.
-
Juhudi za Waislamu wa Nigeria na kuachiliwa kwa masharti Sheikh Ibrahim Zakzaky
Aug 07, 2019 02:11Baada ya kupita mwezi mmoja tangu kutangazwa habari ya kuzidi kuzorota hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na juhudi za Waislamu wa nchi hiyo za kutaka kuachiliwa huru mwanaharakati huyo, hatimaye Jumatatu ya juzi tarehe 6 Agosti, Mahakama Kuu ya Kaduna ilitoa hukumu ya kuachiwa huru mwanaharakati huyo ili asafiri kuelekea nje ya nchi kwa ajili ya matibabu.
-
Askari usalama Nigeria watawanya maandamano ya "Mapinduzi Sasa" huko Lagos
Aug 05, 2019 22:26Askari usalama wa Nigeria jana Jumatatu waliwatawanya washiriki wa maandamano yaliyopewa jina la "Mapinduzi Sasa" katika mji mkuu wa nchi hiyo, Lagos.
-
Mahakama ya Kaduna Nigeria yatoa hukumu ya kuachiliwa Sheikh Zakzaky kwa ajili ya matibabu
Aug 05, 2019 06:56Mahakama Kuu ya Kaduna nchini Nigeria leo imetoa hukumu ya kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu yay Nigeria na kuruhusiwa kwenda kutibiwa nje ya nchi.
-
OCHA: Hali ya kibinadamu ni mbaya kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 02, 2019 02:48Umoja wa Mataifa na maafisa wa mashirika ya utoaji misaada wanasema kuwa, hali ya kibinadamu kaskazini mashariki mwa Nigeria ni mbaya ikiwa ni miaka 10 tangu kuzuka machafuko katika maeneo hayo.
-
Askari wasiopungua 25 wa Nigeria na Chad wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria
Aug 01, 2019 20:47Kwa akali askari 25 wameuawa katika shambulio la kuvizia lililofanywa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria.
-
Kupigwa marufuku shughuli za Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na taathira zake
Jul 29, 2019 05:32Wakati Waislamu wa Nigeria wakiendeleza jitihada za kuhakikisha kwamba kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky anaachiwa huru, Rais wa nchi hiyo amepiga marufuku shughuli zote za harakati hiyo.