Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu 13 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Watu 13 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Oct 23, 2017 04:24

    Kwa akali watu 13 wameuawa nchini Nigeria kufuatia shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Boko Haram washambulia msafara wa wanajeshi Nigeria

    Boko Haram washambulia msafara wa wanajeshi Nigeria

    Oct 19, 2017 10:33

    Wanajeshi watatu wa Nigeria wameuawa baada ya kushambuliwa na genge la kigaidi na la ukufurishaji la Boko Haram.

  • Larijani: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Larijani: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima

    Oct 16, 2017 08:34

    Spika wa majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, ugaidi ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi zote duniani na mapambano dhidi ya uhalifu huo mkubwa yanahitajia ushirikiano wa nchi zote duniani.

  • Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano na Bara la Afrika

    Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano na Bara la Afrika

    Oct 15, 2017 01:11

    Rais Hassan Rouhani amesema kustawisha na kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika hasa Nigeria ikiwa ni nchi rafiki na ya Kiislamu ni miongoni mwa misingi ya sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na akasisitiza kwamba mashirika makubwa ya Kiirani yako tayari kutekeleza miradi ya maendeleo nchini Nigeria.

  • Jumuiya ya Waislamu wa jimbo la Ogun Nigeria yalalamikia marufuku ya hijabu mashuleni

    Jumuiya ya Waislamu wa jimbo la Ogun Nigeria yalalamikia marufuku ya hijabu mashuleni

    Oct 13, 2017 00:21

    Jumuiya ya Waislamu wa jimbo la Ogun la kusini magharibi mwa Nigeria wamelalamikia vikali marufuku ya hijabu mashuleni katika jimbo hilo na kuwataka viongozi wa jimbo hilo kuruhusu wanafunzi wasichana wa Kiislamu kuingia katika shule za mji huo wakiwa wamejisitiri kwa vazi hilo la Kiislamu.

  • Kesi ya mamia ya magaidi wa Boko Haram yaanza kusikilizwa Nigeria

    Kesi ya mamia ya magaidi wa Boko Haram yaanza kusikilizwa Nigeria

    Oct 10, 2017 04:42

    Wizara ya Sheria ya Nigeria imetangaza habari ya kuanza kusikilizwa kesi ya wanachama zaidi ya elfu mbili wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika mahakama mbalimbali za nchi hiyo.

  • Msimamo wa Rais wa Nigeria kuhusiana na makundi yanayotaka kujitenga

    Msimamo wa Rais wa Nigeria kuhusiana na makundi yanayotaka kujitenga

    Oct 03, 2017 00:30

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesisitiza katika siku ya kuadhimisha uhuru wa nchi hiyo kuwa, hataruhusu nchi yake ianguke mikononi mwa wanaotaka kujitenga.

  • Rais wa Nigeria aiita harakati ya Biafra katika meza ya mazungumzo

    Rais wa Nigeria aiita harakati ya Biafra katika meza ya mazungumzo

    Oct 02, 2017 10:45

    Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria ameitaka harakati inayopigania kujitenga jimbo la Biafra la kusini mashariki mwa nchi hiyo kukaa katika meza moja ya mazungumzo na serikali.

  • Polisi Nigeria wavuruga maombolezo ya Muharram

    Polisi Nigeria wavuruga maombolezo ya Muharram

    Oct 01, 2017 04:19

    Polisi nchini Nigeria wamehujumu na kuvuruga maombolezo ya siku za Muharram katika mji wa Sokoto kaskazini mwa nchi hiyo na kuwatia mbaroni Waislamu sita waliokuwa katika maombolezo hayo.

  • Watu watatu wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram nchini Nigeria

    Watu watatu wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram nchini Nigeria

    Sep 28, 2017 12:03

    Maafisa wa Nigeria wameripoti kuwa watu watatu wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS