-
Cameroon yawatimua wakimbizi laki moja wa Nigeria
Sep 27, 2017 22:59Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya Cameroon kuwafukuza nchini wakimbizi zaidi ya laki moja raia wa Nigeria.
-
Boko Haram 1600 kufikishwa mahakamani Oktoba, Nigeria
Sep 25, 2017 03:51Wizara ya Sheria ya Nigeria imetangaza kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wanaoshikiliwa katika korokoro za nchi hiyo watafikishwa mahakamani Oktoba mwaka huu.
-
Boko Haram yaua watu 9 katika kambi ya wakimbizi Borno, Nigeria
Sep 23, 2017 11:47Wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamewaua watu tisa waliokuwa wakiishi katika kambi ya wakimbizi katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Serikali Nigeria yaeleza wasiwasi wake kuhusu silaha za magendo nchini humo
Sep 22, 2017 23:06Serikali ya Nigeria imetangaza kwamba, ina wasiwasi kuhusu silaha zinazoingizwa kwa wingi nchini humo kupitia njia za magendo.
-
Dola milioni 9.9 zahitajika kukabiliana na kipindupindu Borno Nigeria
Sep 18, 2017 22:08Umoja wa Mataifa na washirika wake wametoa wito kwa wahisani wakihitaji msaada wa dola milioni 9.9 kukabiliana na mripuko wa kipindipindi uliozuka hivi karibuni katika Jimbo la Borno, kaskazini-mashariki mwa Nigeria.
-
Muungano wa wafanyakazi Nigeria watishia mgomo ikiwa serikali itapuuza matakwa yake
Sep 15, 2017 22:06Muungano mmoja wa wafanyakazi nchini Nigeria umetishia kufanya mgomo wa nchi nzima ikiwa serikali ya Rais Muhammadu Buhari itaendelea kupuuza matakwa yake.
-
Watu 30 waaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani nchini Nigeria
Sep 15, 2017 09:32Kwa akali watu 30 wamepoteza maisha kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo kusini magharibi mwa Nigeria.
-
Nigeria yaanza kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na jeshi
Sep 12, 2017 22:03Tume iliyoundwa na serikali ya Nigeria imeanza kuchunguza ukikwaji wa haki za binadamu uliofanywa na jeshi la nchi hiyo.
-
Ombi la rais wa Nigeria la kujiepusha na kila aina ya ghasia
Sep 10, 2017 22:50Kufuatia kuuawa idadi kadhaa ya raia wa Nigeria katika moja ya mapigano ya kikabila, Rais Muhamadu Buhari wa nchi hiyo, ametaka kuimarishwa usalama na utulivu nchini sambamba na kuwataka wananchi wajiepushe na vitendo vya utumiaji mabavu na ghasia.
-
Shambulio la Boko Haram laua watu wanane kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 08, 2017 22:52Watu wasiopungua wanane wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.