-
Wanajeshi kadhaa wa Nigeria wauawa katika shambulio la wanamgambo wa Boko Haram
May 01, 2017 09:20Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio katika kambi moja ya jeshi la Nigeria na kuwaua wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo.
-
Mamia ya walimu wauawa katika eneo la Ziwa Chad
May 01, 2017 03:01Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umesema kuwa, walimu 600 wameuawa katika eneo la Ziwa Chad kwenye mashambulizi ya genge la kigaidi la Boko Haram tangu mwaka 2009.
-
Waislamu wa Nigeria walalamikia kuendelea kushikiliwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu
Apr 28, 2017 10:20Msemaji wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amelaani kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Waislamu Nigeria kuishtaki serikali kwa kupuuza agizo la koti
Apr 28, 2017 03:25Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imesema inajiandaa kwenda mahakamani kuishtaki serikali ya nchi hiyo kwa kupuuza agizo lililotolewa na Mahakama ya Federali la kumuachia huru kiongozi wao Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Waislamu waliouawa na jeshi la Nigeria wakumbukwa katika 'Siku ya Mashahidi'
Apr 25, 2017 22:03Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha siku ya mashahidi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.
-
Watu wenye silaha waangamizwa katikati mwa Nigeria
Apr 23, 2017 03:19Jeshi la polisi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa watu wawili katika jimbo la Niger la katikati mwa nchi hiyo.
-
Idadi ya walioaga dunia kwa homa ya uti wa mgongo Nigeria ni ya kuogofya
Apr 20, 2017 09:46Wizara ya Afya ya Nigeria imesema idadi ya watu walioaga dunia kufikia sasa kutokana na homa ya uti wa mgongo imefikia 745.
-
Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu nchini Nigeria
Apr 19, 2017 07:41Baada ya viongozi wa Nigeria kukataa kumuachilia huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Waislamu wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiliwa huru mwanaharakati huyo wa Kiislamu.
-
Polisi wawafyatulia risasi Wanigeria walioandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru
Apr 18, 2017 23:02Askari polisi wa Nigeria wametumia risasi moto kuwatawanya waandamanaji wanaotaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
-
Mamia ya mateka wa Boko Haram wakombolewa Nigeria
Apr 18, 2017 11:04Jeshi la Nigeria limefanikiwa kukomboa mamia ya mateka waliokuwa wakishikiliwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram.