-
Waislamu Nigeria wawaonya viongozi wa nchi hiyo
Jan 15, 2017 03:48Msemaji wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amewaonya viongozi wa nchi hiyo na kuwataka wamwachie huru mara moja kiongozi wa harakati hiyo.
-
Rais wa Nigeria aomboleza kifo cha Ayatullah Rafsanjani
Jan 14, 2017 03:42Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amemtumia salamu za rambi rambi mwenzake wa Iran kufuatia kuaga dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran.
-
Jeshi la Nigeria lagundua miili kadhaa ya askari wanaosadikiwa kuuawa na Boko Haram
Jan 14, 2017 00:27Jeshi la Nigeria limetangaza kugundua miili ya askari zaidi ya 10 wanaodaiwa kuuawa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Bunge la Wawakilishi Nigeria lafungua njia ya kumpa hifadhi ya kisiasa Rais wa Gambia
Jan 12, 2017 13:24Bunge la Wawakilishi la Nigeria leo limepiga kura kuidhinisha uamuzi wa kumpatia hifadhi ya kisiasa Rais Yahya Jammeh wa Gambia endapo atakubali kung'atuka madarakani.
-
Wafanyakazi wa sekta ya mafuta na gesi nchini Nigeria wagoma kudai mshahara
Jan 11, 2017 01:13Wafanyakazi wa sekta ya mafuta na gesi nchini Nigeria, wameanzisha mgomo kulalamikia kutolipwa mishahara na marupurupu yao.
-
Boko Haram washambulia kituo cha jeshi la Nigeria, askari watano wauawa
Jan 09, 2017 03:28Askari watano wa jeshi la Nigeria na wapiganaji 15 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameuawa wakati kundi hilo liliposhambulia kituo cha jeshi katika eneo la mbali kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Siku elfu moja zimepita tangu kutekwa wanafunzi wa Chibok Nigeria
Jan 09, 2017 01:03Ikiwa zimepita siku elfu moja hapo jana Jumapili tangu kutekwa wanafunzi wa kike wa shule ya sekondari ya Chibok zaidi ya 200 kulikofanywa na wanamgambo wa kundi la kitakfiri na la kigaidi la Boko Haram huko Nigeria, hatima ya wanafunzi hao haijulikani.
-
Kutangaza vita "Walipizaji Kisasi wa Niger Delta" dhidi ya serikali ya Nigeria
Jan 08, 2017 02:48Katika hali ambayo Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ameahidi kufikia suluhu na waasi, kundi la wana mgambo linalojiita Walipizaji Kisasi wa Niger Delta la kusini mwa nchi hiyo limetangaza vita dhidi ya serikali baada ya mazungumzo baina ya pande mbili kumalizika bila ya kufikiwa tija.
-
Kundi la Niger Delta latangaza rasmi vita na serikali ya Nigeria
Jan 07, 2017 12:26Kundi la waasi wa Niger Delta kusini mwa Nigeria limetangaza vita na serikali ya nchi hiyo kufuatia kushindwa mazungumzo ya pande mbili.
-
Jeshi la Nigeria: Boko Haram wanapatiwa silaha na Israel
Jan 04, 2017 00:58Duru za Nigeria zimefichua kuwa, kundi la wanamgambo wa kigaidi wa Boko Haram limekuwa likipata misaada ya silaha kutoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.