Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria yamtaka Rais Buhari kumwachia huru Sheikh Zakzaky

    Harakati ya Kiislamu Nigeria yamtaka Rais Buhari kumwachia huru Sheikh Zakzaky

    Jan 02, 2017 04:21

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiwa huru kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Ahadi ya Rais wa Nigeria ya kurejesha amani na usalama wa nchi

    Jan 02, 2017 03:36

    Katika hali ambayo, Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema katika ujumbe wake kwa mnasaba wa mwaka mpya wa 2017 kwamba, ameazimia kuchukua hatua za kurejesha usalama na uthabiti wa nchi hiyo na wa kieneo, kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi la Boko Haram limetishia kutekeleza operesheni za kigaidi katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Boko Haram yatoa vitisho vipya dhidi ya serikali ya Nigeria

    Boko Haram yatoa vitisho vipya dhidi ya serikali ya Nigeria

    Dec 31, 2016 23:33

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Boko Haram ametoa vitisho vipya dhidi ya jeshi la Nigeria.

  • Polisi ya Nigeria: Tutapambana kwa nguvu zote na magaidi

    Polisi ya Nigeria: Tutapambana kwa nguvu zote na magaidi

    Dec 31, 2016 11:28

    Polisi ya Nigeria imesisitiza katika tangazo lake maalumu kwamba, imezimia kwa dhati kupambana kwa nguvu zake zote na magaidi na makundi yanayojihusisha na vitendo vya kuwateka nyara watu.

  • Jamii ya Nigeria yapindukia watu milioni 190

    Jamii ya Nigeria yapindukia watu milioni 190

    Dec 31, 2016 00:18

    Wakala wa Taifa wa Takwimu nchini Nigeria umetangaza kuwa jamii ya watu wa nchi hiyo imepindukia watu milioni 190.

  • Wanigeria 3000 warejea katika makazi yao baada ya Boko Haram kutimuliwa

    Wanigeria 3000 warejea katika makazi yao baada ya Boko Haram kutimuliwa

    Dec 29, 2016 03:45

    Wanigeria zaidi ya 3,000 wanaripotiwa kurejea katika makazi yao kaskazini mashariki mwa nchi baada ya magaidi wa Boko Harama kutimuliwa.

  • Waislamu wa Nigeria waendelea kupigania Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Waislamu wa Nigeria waendelea kupigania Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Dec 28, 2016 23:10

    Waislamu wa Nigeria wamezidisha jitihada zao za kutaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo pamoja na mke wake.

  • Rais Buhari: Jeshi la Nigeria limeiteka kambi kuu ya kundi la Boko Haram

    Rais Buhari: Jeshi la Nigeria limeiteka kambi kuu ya kundi la Boko Haram

    Dec 25, 2016 00:21

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema jeshi la nchi hiyo limeiteka kambi kuu ya mwisho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika msitu wa Sambisa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watoto 11 wafariki dunia katika ajali ya basi kaskazini mwa Nigeria

    Watoto 11 wafariki dunia katika ajali ya basi kaskazini mwa Nigeria

    Dec 21, 2016 23:35

    Watoto 11 wamepoteza maisha baada ya kugongwa na basi walipokuwa wakishiriki zefe (matembezi) ya Maulid (kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume SAW) kaskazini mwa Nigeria.

  • Nigeria yatilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi magharibi mwa Afrika

    Nigeria yatilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi magharibi mwa Afrika

    Dec 20, 2016 11:07

    Rais wa Nigeria ametilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi kwa maslahi ya nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS