Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Dec 19, 2016 23:36

    Watu kadhaa wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi linalosadikiwa kufanywa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    WHO: Boko Haram imeharibu vituo vya Afya kaskazini mwa Nigeria

    Dec 16, 2016 01:19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeharibu sehemu kubwa ya vituo vya afya katika eneo la kaskazini mwa Nigeria.

  • HRW yataka Nigeria imuachie huru Zakzaky na iache kukandamiza Mashia

    HRW yataka Nigeria imuachie huru Zakzaky na iache kukandamiza Mashia

    Dec 15, 2016 10:28

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Abuja iheshimu agizo la mahakama na kumuachia huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigiera, Sheikh Ibrahim Zakzaky sambamba na kusitisha ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Mamia ya raia wakombolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram, Nigeria

    Mamia ya raia wakombolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram, Nigeria

    Dec 15, 2016 02:51

    Afisa wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, zaidi ya raia 600 wakiwemo watoto 450 wa nchi hiyo wamekombolewa kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Watoto laki 4 katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa Nigeria

    Dec 14, 2016 10:47

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa mamia ya maelfu ya watoto nchini Nigeria wako katika hatari ya kuaga dunia kutokana na vita, njaa na lishe duni.

  • Waislamu Nigeria wazidi kushinikizwa na serikali kwa kisingizio cha kuimarishwa usalama

    Waislamu Nigeria wazidi kushinikizwa na serikali kwa kisingizio cha kuimarishwa usalama

    Dec 11, 2016 23:09

    Kufuatia kuongezeka hujuma za kigaidi nchini Nigeria, serikali ya Abuja inatumia kisingizio hicho kuwakadamiza wananchi hasa Waislamu.

  • Kanisa laporomoka na kuua watu zaidi ya 160 Nigeria

    Kanisa laporomoka na kuua watu zaidi ya 160 Nigeria

    Dec 11, 2016 11:14

    Watu zaidi ya 160 wameuawa baada ya kanisa kuporomoka kusini mashariki mwa Nigeria Jumamosi.

  • Kiongozi wa Harakati ya Kiislamui Nigeria ahamishiwa sehemu isiyojulikana

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamui Nigeria ahamishiwa sehemu isiyojulikana

    Dec 11, 2016 04:39

    Baadhi ya ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amehamishiwa sehemu isiyojulikana nchini humo.

  • Iran yalaani miripuko ya mabomu ya nchini Nigeria

    Iran yalaani miripuko ya mabomu ya nchini Nigeria

    Dec 10, 2016 23:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani miripuko ya mabomu iliyotokea nchini Nigeria na kupelekea watu wengi kuuawa bila ya hatia.

  • Waislamu wa Nigeria walaani njama za Israel

    Waislamu wa Nigeria walaani njama za Israel

    Dec 10, 2016 12:08

    Waislamu wa Kishia nchini Nigeria wamelaani njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kukwamisha juhudi za kuachiliwa huru Sheikh Zakzaki, mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS