-
Makumi wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Nigeria
Dec 10, 2016 00:26Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
UN: Boko Haram ingali tishio licha ya kupoteza ngome zake
Dec 08, 2016 04:02Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria lingali tishio katika eneo la Ziwa Chad licha ya kupoteza udhibiti wa ngome zake nyingi.
-
Viongozi wa Nigeria wang'ang'ania Sheikh Zakzaky afunguliwe mashtaka
Dec 06, 2016 12:22Licha ya Mahakama Kuu ya Nigeria kutoa amri ya kuitaka serikali ya shirikisho imwachie huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky, viongozi wa jimbo la Kaduna wangali wanashikilia kiongozi huyo wa kidini ashtakiwe na kuhukumiwa kifungo jela.
-
Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria
Dec 06, 2016 00:07Jumuia mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanawake nchini Nigeria.
-
Nigeria na Morocco kujenga bomba la kusafirishia gesi
Dec 05, 2016 00:26Serikali za Nigeria na Morocco zimesaini hati ya makubaliano ya kujenga bomba la kusafirishia gesi ambalo litaziunganisha nchi mbili hizo pamoja na nchi nyingine za Afrika na bara Ulaya.
-
Mahakama ya Nigeria yaamuru Sheikh Zakzaky aachiliwe huru
Dec 02, 2016 12:26Mahakama nchini Nigeria imeiamuru serikali kumuachilia huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Mahakama Nigeria yamnyima dhamana mkuu wa Biafra
Dec 02, 2016 04:33Mahakama Kuu ya Nigeria imekataa kumuachia huru kwa dhamana mkuu wa harakati ya Biafra inayopigania kujitenga na Nigeria.
-
Tahadhari ya UN kuhusu vifo vya watoto Nigeria
Nov 30, 2016 04:31Umoja wa Mataifa umetahadahrisha kuwa, hujuma za kigaidi za Boko Haram ni chanzo cha familia kuwa wakimbizi Nigeria na hivyo kusababisha vifo vya makumi ya maelefu ya watoto nchini humo.
-
Bomba jingine la kusafirisha mafuta laripuliwa Niger Delta nchini Nigeria
Nov 28, 2016 04:20Waasi wa eneo la kusini mwa Nigeria la Niger Delta wameshambulia kwa kuripua bomba jingine la kusafirisha mafuta katika eneo hilo.
-
Kikao cha kusikiliza kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky chaakhirishwa
Nov 27, 2016 03:51Kikao cha kusikiliza kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria kimeakhirishwa na kupangiwa tarehe nyingine.