Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Jeshi la Nigeria lasisitiza kupambana na vitisho vya kundi la kigaidi la Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lasisitiza kupambana na vitisho vya kundi la kigaidi la Boko Haram

    Nov 26, 2016 00:24

    Kamanda Mkuu wa jeshi la Nigeria amesisitiza juu ya azma ya jeshi la nchi hiyo ya kukabiliana na kundi la kigaidi la Boko Haram ambalo limehatarisha usalama wa nchi hiyo na nchi jirani.

  • Amnesty: Jeshi la Nigeria limeua wanaharakati 150 wa Biafra

    Amnesty: Jeshi la Nigeria limeua wanaharakati 150 wa Biafra

    Nov 24, 2016 10:10

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema wanaharakati wapatao 150 wa vuguvugu linaloshinikiza kujitenga jimbo la Biafra wameuawa na jeshi la Nigeria katika kipindi cha mwaka mmoja.

  • Waislamu wa Kishia Nigeria walaani kubomolewa shule zao

    Waislamu wa Kishia Nigeria walaani kubomolewa shule zao

    Nov 23, 2016 23:31

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imelaani kitendo kilicho kinyume na sheria cha viongozi wa jimbo la Kaduna nchini humo cha kubomoa shule zao.

  • Jumuiya ya haki za binadamu  Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jumuiya ya haki za binadamu Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Nov 21, 2016 23:16

    Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiliwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.

  • Malalamiko dhidi ya kuharibiwa majengo ya Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Malalamiko dhidi ya kuharibiwa majengo ya Harakati ya Kiislamu Nigeria

    Nov 21, 2016 03:43

    Mwanachama wa ngazi za juu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amelaani vikali hatua ya serikali ya jimbo la Kaduna lililoko katikati mwa nchi hiyo, ya kuharibu na kubomoa majengo ya harakati hiyo.

  • Kuongezeka ukandamizaji wa Waislamu nchini Nigeria

    Kuongezeka ukandamizaji wa Waislamu nchini Nigeria

    Nov 20, 2016 23:33

    Wanajeshi wa serikali ya Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria wameendelea kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo kwa kuvunja nyumba na maeneo yanayomilikiwa na Waislamu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Serikali ya Nigeria yabomoa majengo ya harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo

    Serikali ya Nigeria yabomoa majengo ya harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo

    Nov 19, 2016 12:14

    Serikali ya Nigeria imeendeleza ukandamizaji dhidi ya Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo kwa kubomoa majengo kadhaa ya harakati hiyo.

  • Mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama na Jeshi la Nigeria

    Mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama na Jeshi la Nigeria

    Nov 17, 2016 23:53

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (INM) imefanya mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama hivi karibuni na jeshi la nchi hiyo katika mji wa kaskazini wa Kano.

  • ICC yataka maelezo kuhusu mauaji ya Waislamu wa Shia nchini Nigeria

    ICC yataka maelezo kuhusu mauaji ya Waislamu wa Shia nchini Nigeria

    Nov 17, 2016 12:30

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeitaka serikali ya Nigeria kutoa maelezo kuhusu mauaji yaliyofanywa mwaka jana na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Zaria.

  • UN: Watu milioni 14 watahitajia msaada wa dharura Nigeria 2017

    UN: Watu milioni 14 watahitajia msaada wa dharura Nigeria 2017

    Nov 16, 2016 10:46

    Umoja wa Mataifa umesema watu milioni 14 watahitajia msaada wa dharura mwaka ujao wa 2017 kaskazini mwa Nigeria na kwamba makumi ya maelfu ya watoto wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa katika eneo hilo ambalo lilikuwa ngome ya kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS