Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • UN yaitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa nchini Somalia

    UN yaitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa nchini Somalia

    Mar 23, 2017 16:48

    Kwa mara nyingine Umoja wa Mataifa umeitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa lililoikumba Somalia.

  • Msalaba Mwekundu: Dunia ina miezi 3 kunusuru mamilioni wanaokabiliwa na njaa Somalia, Yemen

    Msalaba Mwekundu: Dunia ina miezi 3 kunusuru mamilioni wanaokabiliwa na njaa Somalia, Yemen

    Mar 22, 2017 16:11

    Shirika la Msalaba Mwekundu limeonya kuwa, jamii ya kimataifa ina miezi mitatu hadi minne kuokosoa maisha ya mamilioni ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa katika nchi za Somalia na Yemen.

  • Serikali Sudan Kusini yalaumiwa kwa kusababisha baa la njaa

    Serikali Sudan Kusini yalaumiwa kwa kusababisha baa la njaa

    Mar 17, 2017 13:36

    Serikali ya Sudan Kusini ndiyo inayobeba lawama kubwa kwa baa la njaa linaloshuhudiwa katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo iliyoharibiwa na vita.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu

    Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu

    Mar 13, 2017 06:05

    Kutokana na kuenea ukame na njaa katika maeneo tofauti ya dunia Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hatari ya kutokea maafa makubwa zaidi ya kibinaadamu ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miaka 72 iliyopita

  • Wamisri waandamana nchi nzima dhidi ya serikali kulalamikia kuwekwa mgao wa mikate

    Wamisri waandamana nchi nzima dhidi ya serikali kulalamikia kuwekwa mgao wa mikate

    Mar 09, 2017 07:52

    Raia wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya serikali katika mikoa tofauti ya nchi hiyo, kulalamikia hatua ya kuwekwa mgao katika upatikanaji wa mikate nchini humo.

  • Watu 36 wauawa na kujeruhiwa waking'ang'ania chakula Zambia

    Watu 36 wauawa na kujeruhiwa waking'ang'ania chakula Zambia

    Mar 07, 2017 07:10

    Kwa akali watu wanane wamepoteza maisha huku wengine 28 wakijeruhiwa katika mkanyagano na msongamano waking'ang'ania chakula cha msaada nchini Zambia.

  • Ukame na njaa vyaendelea kuua watu barani Afrika

    Ukame na njaa vyaendelea kuua watu barani Afrika

    Mar 07, 2017 04:30

    Wimbi la vifo vinavyotokana na ukame na njaa limezikumba nchi kadhaa za Afrika hususan mashariki mwa bara hilo.

  • Katibu Mkuu wa UN kuwasili leo Nairobi, mamilioni ya Wakenya wanasumbuliwa na njaa

    Katibu Mkuu wa UN kuwasili leo Nairobi, mamilioni ya Wakenya wanasumbuliwa na njaa

    Mar 05, 2017 03:54

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatarajiwa kuwasili leo nchini Kenya katika safari ya kikazi ya siku mbili.

  • UN: Mamilioni ya watu wanakabiliwa na baa la njaa Nigeria, Ziwa Chad

    UN: Mamilioni ya watu wanakabiliwa na baa la njaa Nigeria, Ziwa Chad

    Feb 23, 2017 03:03

    Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa, zaidi ya watu milioni saba wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa katika eneo lililokumbwa na machafuko la kaskazini mwa Nigeria na kandokando ya Ziwa Chad.

  • Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika

    Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika

    Feb 22, 2017 04:06

    Hali ya maisha katika akthari ya nchi za Kiafrika, imesababisha kuongezeka idadi ya wakimbizi katika bara la Afrika. Hii ni katika hali ambayo, Mpango wa Chakula Duniani (WPF) umetahadharisha kuhusu matatizo ya chakula kwa wakimbizi wa bara hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS