-
UN yaitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa nchini Somalia
Mar 23, 2017 16:48Kwa mara nyingine Umoja wa Mataifa umeitaka jamii ya kimataifa kukabiliana na tatizo la njaa lililoikumba Somalia.
-
Msalaba Mwekundu: Dunia ina miezi 3 kunusuru mamilioni wanaokabiliwa na njaa Somalia, Yemen
Mar 22, 2017 16:11Shirika la Msalaba Mwekundu limeonya kuwa, jamii ya kimataifa ina miezi mitatu hadi minne kuokosoa maisha ya mamilioni ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa katika nchi za Somalia na Yemen.
-
Serikali Sudan Kusini yalaumiwa kwa kusababisha baa la njaa
Mar 17, 2017 13:36Serikali ya Sudan Kusini ndiyo inayobeba lawama kubwa kwa baa la njaa linaloshuhudiwa katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo iliyoharibiwa na vita.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa ya kutokea maafa ya kutisha zaidi ya hali mbaya ya kibinaadamu
Mar 13, 2017 06:05Kutokana na kuenea ukame na njaa katika maeneo tofauti ya dunia Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu hatari ya kutokea maafa makubwa zaidi ya kibinaadamu ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miaka 72 iliyopita
-
Wamisri waandamana nchi nzima dhidi ya serikali kulalamikia kuwekwa mgao wa mikate
Mar 09, 2017 07:52Raia wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya serikali katika mikoa tofauti ya nchi hiyo, kulalamikia hatua ya kuwekwa mgao katika upatikanaji wa mikate nchini humo.
-
Watu 36 wauawa na kujeruhiwa waking'ang'ania chakula Zambia
Mar 07, 2017 07:10Kwa akali watu wanane wamepoteza maisha huku wengine 28 wakijeruhiwa katika mkanyagano na msongamano waking'ang'ania chakula cha msaada nchini Zambia.
-
Ukame na njaa vyaendelea kuua watu barani Afrika
Mar 07, 2017 04:30Wimbi la vifo vinavyotokana na ukame na njaa limezikumba nchi kadhaa za Afrika hususan mashariki mwa bara hilo.
-
Katibu Mkuu wa UN kuwasili leo Nairobi, mamilioni ya Wakenya wanasumbuliwa na njaa
Mar 05, 2017 03:54Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatarajiwa kuwasili leo nchini Kenya katika safari ya kikazi ya siku mbili.
-
UN: Mamilioni ya watu wanakabiliwa na baa la njaa Nigeria, Ziwa Chad
Feb 23, 2017 03:03Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa, zaidi ya watu milioni saba wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa katika eneo lililokumbwa na machafuko la kaskazini mwa Nigeria na kandokando ya Ziwa Chad.
-
Hali mbaya ya wakimbizi katika bara la Afrika
Feb 22, 2017 04:06Hali ya maisha katika akthari ya nchi za Kiafrika, imesababisha kuongezeka idadi ya wakimbizi katika bara la Afrika. Hii ni katika hali ambayo, Mpango wa Chakula Duniani (WPF) umetahadharisha kuhusu matatizo ya chakula kwa wakimbizi wa bara hilo.