-
IGAD: Watu wasiopungua milioni 27 Afrika Mashariki wanakabiliwa na uhaba wa chakula
Jun 05, 2020 02:26Shirika la Maendeleo la Kiserikali la Nchi za Mashariki mwa Afrika (IGAD) limetangaza kuwa watu wasiopungua milioni 27.6 walikuwa wakikabiliwa na uhaba wa chakula katika eneo la Afrika Mashariki mwaka jana, kabla ya kuibuka janga la COVID-19.
-
WFP: Janga la Corona limeisababishia dunia mgogoro mkubwa wa njaa
May 03, 2020 08:13Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limeonya kuwa, kufikia mwishoni mwa mwaka huu watu zaidi ya milioni 260 watakabiliwa na mgogoro mkubwa wa njaa kutokana na janga la Corona, hususan katika nchi za chini ya jangwa la Sahara barani Afrika.
-
WFP: Njaa kuikumba zaidi dunia kutokana na maradhi ya Covid-19
Apr 22, 2020 01:37Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza katika taarifa yake kwamba idadi ya watu wanaokabiliwa na ukosefu wa chakula inaweza kuongezeka maradufu mwaka huu wa 2020 na kufikia watu milioni 265 kutokana na maradhi ya Covid-19.
-
Indhari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kugeuka virusi vya Corona na kuwa janga la njaa
Apr 15, 2020 03:59Kuibuka virusi vya Corona na maradhi ya Covid-19 ulimwenguni, kumeifanya jamii ya mwanadamu ikabiliwe na tatizo ambalo halijawahi kushuhudiwa, mgogoro ambao unaweza kuitwa janga la kimataifa la Corona.
-
Tahadhari ya mashirika ya kimataifa kuhusu janga la uhaba wa chakula litakaloikumba dunia
Apr 03, 2020 02:54Kuendelea na kushadidi janga la kirusi cha COVID-19 kumezidisha wasiwasi uliopo kuhusu mustakabali wa kiuchumi na kijamii wa nchi mbalimbali duniani hasa zile zilizo dhaifu. Hofu ya baa la njaa na jinsi ya kudhamini chakula ni miongoni masuala makuu yanayojadiliwa hivi sasa.
-
Waafrika milioni 239 wanakabiliwa na njaa, utapiamlo
Feb 09, 2020 12:14Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa FAO Marina Helena Semedo amesema watu takriban milioni 239 wa Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakabiliwa na tatizo la njaa na utapiamlo.
-
Watu milioni 45 wakabiliwa na njaa ambayo haijawahi kushuhudiwa kusini mwa Afrika
Jan 18, 2020 04:58Watu zaidi ya milioni 45 wengi wakiwa wanawake na watoto katika nchi 16 za Kusini mwa Afrika wanakabiliwa na hali mbaya ya kutokuwa na uhakika wa chakula kufuatia kujirudia kwa hali ya ukame, kusambaa kwa mafuriko na kuyumba kwa uchumi.
-
Watu milioni 5.5 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini
Dec 13, 2019 00:43Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu milioni tano na laki tano wanakabiliwa na baa la njaa nchini Sudan Kusini, kutokana na ukame na mafuriko ya hivi karibuni yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha.
-
UN: Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Sep 14, 2019 03:08Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, zaidi ya Wasomali milioni mbili wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa iwapo hawatapata misaada ya haraka wakati huu ambapo nchi za Pembe ya Afrika zinaposumbuliwa na ukame mkubwa ambao haujawahi kushuhudiwa eneo hilo tangu mwaka 2011.
-
UN: Watu milioni 821 wanakabiliwa na njaa duniani
Jul 16, 2019 07:18Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya milioni 821 katika pembe mbalimbali za dunia wanakabiliwa na baa la njaa; mwaka jana 2018 ukiwa mwaka wa tatu mfululizo kwa idadi hiyo kuongezeka kwa kiwango cha kutisha.