Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

onyo

  • UN yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Sudan Kusini inazidi kuwa mbaya

    UN yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Sudan Kusini inazidi kuwa mbaya

    Mar 01, 2017 15:56

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa hali ya kibinadamu nchini Sudan Kusini inazidi kuwa mbaya na kutoa wito wa kurahisisha ufikishaji misaada katika maeneo yaliyoathiriwa na machafuko na ya watu wenye ukata wa maisha.

  • Indhari ya UN kuhusu kuongezeka ukiukaji wa haki za binadamu duniani

    Indhari ya UN kuhusu kuongezeka ukiukaji wa haki za binadamu duniani

    Feb 28, 2017 02:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kuongezeka vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu duniani.

  • Asasi za kimataifa zatahadharisha ongezeko la machafuko Afrika ya Kati

    Asasi za kimataifa zatahadharisha ongezeko la machafuko Afrika ya Kati

    Feb 20, 2017 08:15

    Taasisi tano za kimataifa zimetahadharisha juu ya kushadidi vitendo vya ukatili nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yaionya serikali ya Buhari kwa kukwamisha kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yaionya serikali ya Buhari kwa kukwamisha kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Feb 04, 2017 16:14

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeitahadharisha serikali ya Rais Muhammad Buhari wa nchi hiyo kutokana na ukwamishaji unaofanya kuhusiana na suala la kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu Yemen

    UN yatahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu Yemen

    Jan 27, 2017 07:27

    Mkurugenzi wa Oparesheni za Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu mgogoro na hatari ya njaa huko Yemen.

  • Waislamu Nigeria wawaonya viongozi wa nchi hiyo

    Waislamu Nigeria wawaonya viongozi wa nchi hiyo

    Jan 15, 2017 07:18

    Msemaji wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amewaonya viongozi wa nchi hiyo na kuwataka wamwachie huru mara moja kiongozi wa harakati hiyo.

  • Madaktari na wauguzi Kenya watishia kupanua wigo wa mgomo wao

    Madaktari na wauguzi Kenya watishia kupanua wigo wa mgomo wao

    Dec 09, 2016 04:32

    Madaktari na wauguzi wa hospitali za serikali nchini Kenya ambao wanaingia katika siku yao ya tano ya mgomo wao wametishia kuwa watapanua wigo wa mgomo huo endapo serikali haitasikiliza matakwa yao.

  • Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA

    Nov 30, 2016 13:12

    John O. Brennan, Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA amemuonya Donald Trump, rais mteule wa Marekani kutokana na msimamo wake kuhusu makubaliano ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 yanayojulikana kwa jina la JCPOA na kusisitiza kuwa, haitakuwa busara hata kidogo kufutwa makubaliano yaliyotiwa saini na Tehran na Washington.

  • Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake

    Tahadhari ya Putin kwa Magharibi kuhusu kutumia ugaidi kama wenzo wa kutimizia malengo yake

    Nov 29, 2016 03:00

    Rais Vladimir Putin wa Russia amekosoa sera za nchi za Magharibi za kuyatumia makundi ya kigaidi kama wenzo wa kufikia malengo yao na kusisitiza kuwa mchezo huo mchafu umesababisha matatizo mengi.

  • Onyo la Rais wa Sudan Kusini kwa kiongozi wa waasi

    Onyo la Rais wa Sudan Kusini kwa kiongozi wa waasi

    Oct 17, 2016 10:06

    Rais wa Sudan Kusini amemuonya Riek Machar kiongozi wa waasi wa nchi hiyo na kumtaka ajiweke kando na siasa pamoja na madaraka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS