- 
          Syria yamtunuku Nishani ya Ushujaa rubani Mpakistani aliyepigana Vita vya Siku 6 vya Waarabu na IsraelAug 13, 2023 14:17Syria imemtunukia Nishani ya Ushujaa ya nchi hiyo rubani mkongwe wa Jeshi la Anga la Pakistan, AbdulSattar Alvi, ambaye aliidungua ndege ya kivita ya Israel wakati wa Vita vya Siku Sita kati ya Waarabu na utawala huo haramu wa Kizayuni vilivyopiganwa mwaka 1967. 
- 
          Imran Khan akamatwa baada ya mahakama Pakistan kumhukumu kifungo cha miaka 3 jelaAug 06, 2023 02:28Polisi wamemkamata waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan katika mji wa mashariki wa Lahore baada ya mahakama kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria. 
- 
          Viongozi wa Iran watoa mkono pole na kulaani vikali mripuko wa jana Jumapili wa nchini PakistanJul 31, 2023 06:56Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametoa mkono wa pole kwa wananchi na serikali ya Pakistan baada ya kutokea mripuko wa kigaidi kaskazini magharibi mwa Pakistan na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi. 
- 
          Makumi wauawa katika mripuko wa bomu nchini Pakistan; Iran yatoa mkono wa poleJul 31, 2023 03:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Pakistan na ametoa mkono wa pole kwa wananchi na serikali ya nchi hiyo ndugu na jirani. 
- 
          Pakistan yaanza kutekeleza mchakato wa kuitosa sarafu ya dolaJun 15, 2023 06:34Pakistan imechukua hatua ya kwanza ya kivitendo ya kutekeleza sera yake mpya ya kuachana na sarafu ya dola katika miamala na mabadilishano yake ya bidhaa, kwa kutumia sarafu ya Yuan ya China kununua mafuta ghafi ya Russia kwa bei nafuu. 
- 
          Imran Khan: Masaibu yangu yametokana na kuipa mgongo MarekaniJun 12, 2023 04:37Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan ameituhumu Marekani kwa kula njama iliyopelekea kuangushwa kwa serikali yake iliyochaguliwa kidemokrasia. 
- 
          Onyo la Pakistan kwa kundi la Taliban la AfghanistanMay 31, 2023 01:19Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan ameionya serikali ya wanamgambo wa Taliban wa Afghanistan kuhusiana na shambulio lolote dhidi ya ardhi ya Pakistan. 
- 
          Serikali ya Pakistan inafikria kukipiga marufuku chama cha waziri mkuu wa zamani Imran KhanMay 26, 2023 06:00Waziri wa Ulinzi wa Pakistan ametangaza kuwa serikali inafikiria kupiga marufuku shughuli za chama cha Tehreek-e-Insaf kinachoongozwa na waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo Imran Khan. 
- 
          Spika wa Bunge la Pakistan: Mapambano ya Iran yamekuwa mfano wa kuigwa kwa mataifa mengineMay 11, 2023 11:17Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan amesema mapambano ya kishujaa ya Iran mbele ya changamoto mbalimbali yamekuwa mfano wa kkuigwa kwa mataifa mengine duniani. 
- 
          Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban aelekea Pakistan kukutana na wenzake wa China na PakistanMay 06, 2023 12:04Mawlawi Amir Khan Muttaqi, Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan, amewasili Islamabad akiongoza ujumbe maalumu kwa madhumuni ya kukutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa China Qin Gang na wa Pakistan Bilawal Bhutto-Zardari.