-
Azma ya Tehran na Islamabad ya kuimarisha uhusiano wao katika nyuga mbalimbali
Jan 01, 2024 04:30Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Pakistan ameeleza kuridhishwa kwake na mwenendo unaokua wa uhusiano kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ahmad Vahidi: Makundi ya kigaidi yanaungwa mkono na utawala wa Kizayuni
Dec 17, 2023 04:26Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa, makundi ya kigaidi yanayotaka kuvuruga amani, usalama na umoja wa wananchi wa mkoa wa Sistan na Baluchistan nchini Iran yanaungwa mkono na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kulaaniwa kimataifa veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la kusitisha vita vya Gaza
Dec 10, 2023 23:18Kitendo cha kinyama na cha kijinai cha Marekani cha kulipigia kura ya veto azimio la kusitisha vita Gaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimeendelea kulaaniwa kimataifa.
-
Kubadilika kikamilifu sera za nje za Pakistan mkabala wa Taliban ya Afghanistan
Nov 18, 2023 23:02Waziri Mkuu wa Pakistan amesema katika matamshi nadra na ya aina yake kuwahi kutolewa kuhusu mivutano ya karibuni kati ya nchi hiyo na utawala wa Taliban ya Afghanistan kuwa uhusiano wa nchi mbili hizo utaboreka pale serikali halali itakapoingia madarakani huko Afghanistan.
-
Pakistan haiiungi mkono tena serikali ya Taliban katika ngazi ya kimataifa
Nov 11, 2023 10:17Kufuatia kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Kabul na Islamabad, gazeti moja la Pakistan limeandika kuwa serikali ya nchi hiyo haiiungi mkono tena serikali ya Taliban ya Afghanistan katika ngazi ya kimataifa.
-
Kushtadi mashambulizi ya kigaidi huko Pakistan; sababu na taathira zake
Nov 04, 2023 08:12Kitengo cha Mahusiano ya Umma cha Jeshi la Pakistan kimetangaza kuwa vikosi vya jeshi hilo vimesambaratisha shambulio la kigaidi la leo asubuhi katika kambi ya kikosi cha jeshi la anga katika mji wa Mianwali katika jimbo la Punjab. Wavamizi watatu wameuwa na magaidi kadhaa wamekimbia eneo la tukio.
-
Nchi za Kiislamu zalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya hafla ya Maulidi nchini Pakistan
Sep 30, 2023 23:24Nchi za Kiislamu zimelaani vikali mashambulizi mawili ya kigaidi ambayo yamesababisha vifo vya watu wengi nchini Pakistan.
-
Rais wa Iran alaani mashambulizi pacha ya kigaidi Pakistan
Sep 30, 2023 01:16Rais Ebrahim Raisi wa Iran amelaani mashambulizi mawili ya kigaidi yaliuoua makumi ya watu katika jimbo la kusini magharibi la Balochistan nchini Pakistan.
-
Katibu Mkuu wa UN: Pakistan ni 'muathirika pacha', inahitaji na inastahiki msaada mkubwa wa jamii ya kimataifa
Sep 28, 2023 23:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa mwito wa kuungwa mkono Pakistan, ambayo inaendelea kujijenga upya kufuatia mafuriko makubwa ya mwaka jana, na kuitaja nchi hiyo kuwa ni "mwathirika pacha" wa "machafuko ya hali ya hewa" na mfumo "usio wa haki" wa kifedha duniani.
-
Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Pakistan atiwa nguvuni
Aug 20, 2023 08:04Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Pakistan ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa chama cha Tehreek-e-Insaf Pakistan amekamatwa na kuwekwa kizuizini na vyombo vya usalama mjini Islamabad.