Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wizara ya Afya ya Palestina: Hospitali zote za Gaza zinakaribia kufungwa

    Wizara ya Afya ya Palestina: Hospitali zote za Gaza zinakaribia kufungwa

    Jul 24, 2018 20:49

    Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha kuwa hospitali na vituo vyote vya afya katika eneo la Ukanda wa Gaza vinakaribia kufungwa kutokana na kuishiwa na nishati ya kuendeshea mitambo ya umeme.

  • Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani

    Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani

    Jul 24, 2018 11:50

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio utawala wa kifashisti na wa kibaguzi zaidi duniani.

  • Kiongozi Muadhamu: Ndoto potovu ya kuyahudisha Palestina na 'Muamala wa Karne' haitatimia

    Kiongozi Muadhamu: Ndoto potovu ya kuyahudisha Palestina na 'Muamala wa Karne' haitatimia

    Jul 23, 2018 09:58

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria njama chafu ya Marekani na Utawala wa Kizayuni inayojulikana kama 'Muamala wa Karne' dhidi ya Palestina na Quds Tukufu na kusema: "Uyahudishaji Palestina ni ndoto potovu ambayo haitatimia"

  • UN yaitaka Israel isitishe uchokozi wake Ghaza

    UN yaitaka Israel isitishe uchokozi wake Ghaza

    Jul 22, 2018 03:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameutaka utawala haramu wa Israel usitishe uchokozi wake katika Ukanda wa Ghaza.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yataka kufanyike uchunguzi kuhusu jinai za Israel  huko Palestina

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yataka kufanyike uchunguzi kuhusu jinai za Israel huko Palestina

    Jul 21, 2018 10:36

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu uhalifu na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.

  • Bunge la Israel lapasisha sheria ya ubaguzi, Wabunge Waarabu wahamaki

    Bunge la Israel lapasisha sheria ya ubaguzi, Wabunge Waarabu wahamaki

    Jul 19, 2018 11:12

    Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limeupasisha muswada wa sheria inayotaka kutambuliwa Israel kama 'dola la Mayahudi pekee' licha ya upinzani mkali na malalamiko kutoka kila pembe ya dunia.

  • Uchunguzi: Israel ilimuua muuguzi wa Kipalestina Gaza kwa makusudi

    Uchunguzi: Israel ilimuua muuguzi wa Kipalestina Gaza kwa makusudi

    Jul 18, 2018 02:48

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja la kutetea haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu umesema jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel lilimuua kwa makusudi muuguzi wa Kipalestina katika Ukanda Ghaza.

  • Hamas yaionya vikali Israel juu ya mzingiro wa Gaza

    Hamas yaionya vikali Israel juu ya mzingiro wa Gaza

    Jul 17, 2018 02:47

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na hatua yake ya kuzidisha mzingiro katika Ukanda wa Gaza.

  • Ayatullah Khamenei:

    Ayatullah Khamenei: "Siasa za Kishetani' za Marekani kuhusiana na Palestina katu hazitafanikiwa

    Jul 16, 2018 10:00

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, siasa za kishetani za Marekani kuhusiana na Palestina kamwe hazitafanikiwa.

  • Palestina yaitaka China isaidie utatuzi wa mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Palestina yaitaka China isaidie utatuzi wa mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Jul 14, 2018 09:40

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Palestina ameashiria njama na hatua za ukwamishaji mambo za Marekani katika kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Mashariki ya Kati na kuitaka China isaidie juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS