-
Wizara ya Afya ya Palestina: Hospitali zote za Gaza zinakaribia kufungwa
Jul 24, 2018 20:49Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha kuwa hospitali na vituo vyote vya afya katika eneo la Ukanda wa Gaza vinakaribia kufungwa kutokana na kuishiwa na nishati ya kuendeshea mitambo ya umeme.
-
Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani
Jul 24, 2018 11:50Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio utawala wa kifashisti na wa kibaguzi zaidi duniani.
-
Kiongozi Muadhamu: Ndoto potovu ya kuyahudisha Palestina na 'Muamala wa Karne' haitatimia
Jul 23, 2018 09:58Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria njama chafu ya Marekani na Utawala wa Kizayuni inayojulikana kama 'Muamala wa Karne' dhidi ya Palestina na Quds Tukufu na kusema: "Uyahudishaji Palestina ni ndoto potovu ambayo haitatimia"
-
UN yaitaka Israel isitishe uchokozi wake Ghaza
Jul 22, 2018 03:10Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameutaka utawala haramu wa Israel usitishe uchokozi wake katika Ukanda wa Ghaza.
-
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yataka kufanyike uchunguzi kuhusu jinai za Israel huko Palestina
Jul 21, 2018 10:36Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu uhalifu na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.
-
Bunge la Israel lapasisha sheria ya ubaguzi, Wabunge Waarabu wahamaki
Jul 19, 2018 11:12Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset) limeupasisha muswada wa sheria inayotaka kutambuliwa Israel kama 'dola la Mayahudi pekee' licha ya upinzani mkali na malalamiko kutoka kila pembe ya dunia.
-
Uchunguzi: Israel ilimuua muuguzi wa Kipalestina Gaza kwa makusudi
Jul 18, 2018 02:48Uchunguzi uliofanywa na shirika moja la kutetea haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu umesema jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel lilimuua kwa makusudi muuguzi wa Kipalestina katika Ukanda Ghaza.
-
Hamas yaionya vikali Israel juu ya mzingiro wa Gaza
Jul 17, 2018 02:47Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na hatua yake ya kuzidisha mzingiro katika Ukanda wa Gaza.
-
Ayatullah Khamenei: "Siasa za Kishetani' za Marekani kuhusiana na Palestina katu hazitafanikiwa
Jul 16, 2018 10:00Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, siasa za kishetani za Marekani kuhusiana na Palestina kamwe hazitafanikiwa.
-
Palestina yaitaka China isaidie utatuzi wa mgogoro wa Mashariki ya Kati
Jul 14, 2018 09:40Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Palestina ameashiria njama na hatua za ukwamishaji mambo za Marekani katika kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa Mashariki ya Kati na kuitaka China isaidie juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro huo.