Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Netanyahu awashukuru askari katili wa Israel waliowaua Wapalestina Ghaza

    Netanyahu awashukuru askari katili wa Israel waliowaua Wapalestina Ghaza

    Apr 01, 2018 03:06

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amewapongeza na kuwashukuru wanajeshi wa utawala huo haramu waliowaua na kuwajweruhiwa mamia ya Wapalestina waliokuwa wakifanya maandamano ya amani hivi karibuni katika mpaka wa Ghaza, kushinikiza kurejea katika ardhi zao zilizoghusubiwa.

  •  Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Mar 31, 2018 11:37

    Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel linasema linawaua Wapalestina wanaoandamana kwa kutegemea fatuwa ya mashekhe wa Kiwahhabi kutoka Saudi Arabia.

  • Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuwaua Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza

    Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuwaua Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza

    Mar 31, 2018 11:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya Wapalestina wasiopungua 17 ambao walikufa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa kibaguzi wa Israel katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza.

  • Hizbullah: Matukio ya Ghaza yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaenziwa

    Hizbullah: Matukio ya Ghaza yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaenziwa

    Mar 31, 2018 03:17

    Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imetoa taarifa kufuatia maandamano makubwa ya Ijumaa ya jana mjini Ghaza Palestina na kusema kuwa, matukio hayo yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaendelea kuenziwa na kwamba Wapalestina wako tayari kujitolea kila kitu chao katika njia ya ukombozi wa ardhi zao.

  • Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Mar 30, 2018 11:24

    Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    Mar 29, 2018 02:06

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi wa Palestina Bw. Pierre Krahenbuhl ameonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya kibinadamu ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza ambalo liko chini ya mzingiro wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Mar 28, 2018 11:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman ameyahimiza mataifa ya dunia kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina na mapambano yao hadi watakapopata ushindi na uhuru wao.

  • HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuzuia kufanyika maandamano ya haki ya kurejea makwao Wapalestina

    HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuzuia kufanyika maandamano ya haki ya kurejea makwao Wapalestina

    Mar 28, 2018 02:43

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, vitisho vya utawala dhalimu wa Israel katu haviwezi kuzuia kufanyika maandamano makubwa ya haki ya kurejea makwao Wapalestina.

  • Jeshi la Israel lawateka nyara makumi ya Wapalestina

    Jeshi la Israel lawateka nyara makumi ya Wapalestina

    Mar 27, 2018 03:16

    Vikosi vya utawala wa Kizayuni vimewateka nyara makumi ya Wapalestina wakiwemo wanawake, katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Ripoti: Facebook inahudumia malengo ya Israel

    Ripoti: Facebook inahudumia malengo ya Israel

    Mar 26, 2018 21:58

    Wizara ya Sheria ya Israel imetangaza kuwa, idara inayosimamia mtandao wa kijamii wa Facebook ilikubali asilimia karibu 85 ya matakwa ya utawala huo haramu ya kuondolewa na kuzuiwa maelezo yanayohusiana na Wapalestina na jinsi wanavyokandamizwa katika kurasa za mtandao huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS