-
Palestina yakaribisha maazimio ya UN dhidi ya utawala wa Kizayuni
Mar 25, 2018 23:49Msemaji wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Palestina amekaribisha kupasishwa katika Umoja wa Mataifa maazimio matano ya haki za binadamu dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas
Mar 15, 2018 03:50Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Utafiti wa Ardhi (LRC) cha Palestina inaonyesha kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umebomoa nyumba zipatazo 5,000 za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tangu ulipouvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.
-
Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza
Mar 14, 2018 10:47Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina
Mar 14, 2018 00:05Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa kadhia ya Palestina haiko mikononi mwa Marekani, bali kinachopasa kufanywa ni kuzifuatilia jinai zinazotendwa na Marekani.
-
Hamas na Mamlaka ya Ndani: Israel ilitaka kumuua Waziri Mkuu wa Palestina
Mar 13, 2018 23:15Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na ofisi ya Waziri Mkuu wa Serikali ya Ndani ya Palestina wameutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio uliopanga shambuliizi lililolenga msafara wa Waziri huyo Mkuu, Rami Hamdallah akiwa safarini katika Ukanda wa Gaza.
-
Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu
Mar 09, 2018 03:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Riyadh Al-Maliki amesema, uzembe na upuuzaji wa nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita ndicho chanzo cha kuongezeka uadui na jeuri za Marekani dhidi ya Quds Tukufu.
-
Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina
Mar 08, 2018 01:03Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa, umewadia wakati sasa wa Beitul-Muqaddas kutambuliwa kuwa mji mkuu wa Palestina.
-
Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina
Mar 07, 2018 10:45Huku dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hapo kesho, ripoti mpya ya shirika moja la Palestina inaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni wanawake wasiopungua 15,000 wa Kipalestina tokea mwaka 1967 hadi sasa.
-
Hamas: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni dhambi isiyosameheka
Mar 07, 2018 04:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kwamba, kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kinyume na matakwa ya mataifa ya Kiislamu na ni kosa lisilosameheka.
-
Mjumbe wa PLO: Iran ndio watetezi pekee wa Palestina la Lebanon mbele ya Israel
Mar 06, 2018 13:44Abbas Zaki, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa, Iran ndio nchi pekee inaowatetea raia wa Palestina na Lebanon mbele ya sera za kupenda kujitanua na mabavu ya utawala haramu wa Israel.