Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Palestina yakaribisha maazimio ya UN dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Palestina yakaribisha maazimio ya UN dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Mar 25, 2018 23:49

    Msemaji wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Palestina amekaribisha kupasishwa katika Umoja wa Mataifa maazimio matano ya haki za binadamu dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas

    Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas

    Mar 15, 2018 03:50

    Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Utafiti wa Ardhi (LRC) cha Palestina inaonyesha kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umebomoa nyumba zipatazo 5,000 za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tangu ulipouvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.

  • Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Mar 14, 2018 10:47

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Mar 14, 2018 00:05

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa kadhia ya Palestina haiko mikononi mwa Marekani, bali kinachopasa kufanywa ni kuzifuatilia jinai zinazotendwa na Marekani.

  • Hamas na Mamlaka ya Ndani: Israel ilitaka kumuua Waziri Mkuu wa Palestina

    Hamas na Mamlaka ya Ndani: Israel ilitaka kumuua Waziri Mkuu wa Palestina

    Mar 13, 2018 23:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na ofisi ya Waziri Mkuu wa Serikali ya Ndani ya Palestina wameutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio uliopanga shambuliizi lililolenga msafara wa Waziri huyo Mkuu, Rami Hamdallah akiwa safarini katika Ukanda wa Gaza.

  • Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu

    Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu

    Mar 09, 2018 03:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Riyadh Al-Maliki amesema, uzembe na upuuzaji wa nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita ndicho chanzo cha kuongezeka uadui na jeuri za Marekani dhidi ya Quds Tukufu.

  • Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina

    Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina

    Mar 08, 2018 01:03

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa, umewadia wakati sasa wa Beitul-Muqaddas kutambuliwa kuwa mji mkuu wa Palestina.

  • Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina

    Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina

    Mar 07, 2018 10:45

    Huku dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hapo kesho, ripoti mpya ya shirika moja la Palestina inaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni wanawake wasiopungua 15,000 wa Kipalestina tokea mwaka 1967 hadi sasa.

  • Hamas: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Hamas: Kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Mar 07, 2018 04:03

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kwamba, kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kinyume na matakwa ya mataifa ya Kiislamu na ni kosa lisilosameheka.

  • Mjumbe wa PLO: Iran ndio watetezi pekee wa Palestina la Lebanon mbele ya Israel

    Mjumbe wa PLO: Iran ndio watetezi pekee wa Palestina la Lebanon mbele ya Israel

    Mar 06, 2018 13:44

    Abbas Zaki, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa, Iran ndio nchi pekee inaowatetea raia wa Palestina na Lebanon mbele ya sera za kupenda kujitanua na mabavu ya utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS