Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za utawala wa Israel

    Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za utawala wa Israel

    Feb 27, 2017 23:13

    Umoja wa Mataifa umetangaza katika ripoti yake kwamba, katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita, utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa makumi ya nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na hivyo kuwaacha Wapalestina wengine wakitangatanga kutokana na kutokuwa na makazi.

  • Bunge la Ufaransa lamtaka Rais  Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina

    Bunge la Ufaransa lamtaka Rais Francois Hollande kuitambua rasmi Palestina

    Feb 27, 2017 04:09

    Wabunge wa Ufaransa wamemtaka Rais wa nchi hiyo Francois Hollande aitambue rasmi Palestina.

  • Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu

    Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu

    Feb 26, 2017 11:20

    Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.

  • Balozi wa Palestina Tehran: Tunaishukuru sana Iran kwa kuiunga mkono Paletina

    Balozi wa Palestina Tehran: Tunaishukuru sana Iran kwa kuiunga mkono Paletina

    Feb 23, 2017 10:07

    Balozi wa Palestina mjini Tehran sambamba na kuashiria umuhimu wa mkutano wa 6 wa kimataifa kwa ajili ya kuunga mkono Intifadha ya Palestina uliofanyika hapa mjini Tehran Jumanne na jana Jumatano, ambao uliionyesha dunia dhulma na ukatili wanaofanyiwa Wapalestina, amesema kuwa mkutano huo ulikuwa muhimu sana katika kufichua njama chafu za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina

    Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina

    Feb 23, 2017 09:49

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezikosoa baadhi ya nchi zinazojiita za Kiislamu kwa kushindwa kusimama kidete kutetea maslahi ya Wapalestina.

  • Wanaharakti wanaounga mkono Palestina duniani wakutana Tehran

    Wanaharakti wanaounga mkono Palestina duniani wakutana Tehran

    Feb 23, 2017 03:45

    Kongamano la kimataifa la Mashirika ya Kiraia na wanaharakati wanaounga mkono mapambano ya ukombozi wa Palestina limeanza leo Tehran ‌,mji mkuu wa Iran.

  • Ramadan Shalah: Utawala wa Kizayuni unakabiliwa na matatizo mengi

    Ramadan Shalah: Utawala wa Kizayuni unakabiliwa na matatizo mengi

    Feb 22, 2017 00:37

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islamu ya Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel haupo katika hali nzuri na unakabiliwa na matatizo chungu nzima.

  • Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran

    Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran

    Feb 20, 2017 04:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, Saudia inapingana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na hatua ya Tehran kuiunga mkono Palestina.

  • Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo

    Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo

    Feb 19, 2017 23:21

    Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati au Asia Magharibi.

  • Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani

    Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani

    Feb 18, 2017 12:49

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema kuwa, hii leo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutumia nyenzo za uwezo, uthabiti na bila ya kuwa na utegemezi, imeweza kuibadilisha sura ya eneo la Mashariki ya Kati, kufungua milango ya ushindi sambamba kuhuisha upya kadhia ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS