-
Ismail Hania: Vita vya Palestina na Israel ni kuhusu Masjidul Aqswa
Feb 18, 2017 04:14Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, vita vya Palestina na utawala wa Kizayuni vinahusiana na Msikiti wa al Aqsa na utambulisho wa Palestina.
-
Ujerumani yaonya Israel itaibua vita kupora ardhi zaidi za Wapalestina
Feb 17, 2017 11:09Ujerumani imeonya kuwa hatua ya utawala haramu wa Israeli ya kunyakua ardhi zaidi za Wapalestina na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni jambo litakaloibua vita vipya Mashariki ya Kati.
-
UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Feb 16, 2017 12:25Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Hatutotekeleza sheria ya marufuku ya Adhana
Feb 14, 2017 04:13Sheikh Ikrima Sabri, Khatibu na Imam wa msikiti wa Al-Aqsa amesema sheria ya kupiga marufuku sauti ya adhana katika misikiti ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ya kidhalimu na kusisitiza kwa kusema: Sitatekeleza uamuzi huo.
-
Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza
Feb 13, 2017 23:46Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, imemteua afisa wa ngazi za juu wa tawi lake la kijeshi kuwa kiongozi wa harakati hiyo Ukanda wa Ghaza.
-
Kongamano la mabunge ya Kiarabu na mustakbali wa Palestina
Feb 12, 2017 08:37Katibu Mkuu wa Jumuiya ya nchi za Kiarabu ameelezea kuwepo migongano ya serikali mpya ya Marekani kuhusu masuala ya ulimwengu wa Kiarabu.
-
Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!
Feb 12, 2017 04:01Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amewataka Wapalestina wote waondoke mara moja katika ardhi zao zilizoghusubiwa na utawala huo bandia.
-
Kubadilika msimamo wa Rais wa Marekani kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu
Feb 11, 2017 03:58Kwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani, Rais Donald Trump wa Marekani amekosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi za Palestina, japokuwa amejaribu kutumia lugha laini na ya upole katika ukosoaji wake huo.
-
Zuma: Afrika Kusini itaendelea kuwaunga mkono watu wa Palestina
Feb 10, 2017 21:56Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amezihimiza nchi zote duniani ziendelee kuwaunga mkono na kuwatetea watu wanaokandamizwa wa Palestina.
-
Muungano wa Mabunge ya Kiislamu wasisitiza himaya yake kwa taifa la Palestina
Jan 29, 2017 00:23Washiriki wa mkutano wa Muungano wa Mabunge ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wamesisitiza juu ya udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa la Palestina mkabala na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.