-
Muungano wa Mabunge ya Kiislamu wasisitiza himaya yake kwa taifa la Palestina
Jan 29, 2017 00:23Washiriki wa mkutano wa Muungano wa Mabunge ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wamesisitiza juu ya udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa la Palestina mkabala na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.
-
Israel yadharau azimio la UN; yaidhinisha ujenzi wa nyumba mpya 566
Jan 22, 2017 12:53Mamlaka za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimeidhinisha vibali vya ujenzi wa nyumba mpya 566 za walowezi wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas Mashariki unaoukalia kwa mabavu.
-
Quds ni mstari mwekundu kwa Waislamu wote
Jan 20, 2017 00:52Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO amesisitiza kuwa mji mtakatifu wa Quds ni mstari mwekundu kwa Wapalestina, kwa ulimwengu wa Kiarabu, kwa Waislamu na pia kwa Wakristo ulimwenguni.
-
Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo
Jan 16, 2017 23:34Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.
-
Mali yasema msimamo wake na Iran ni mmoja kuhusu kadhia ya Palestina
Jan 11, 2017 12:00Rais wa Bunge la Kitaifa la Mali amesema msimamo wa nchi yake kuhusu kadhia ya Palestina unafanana na wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na amekashifu mienendo ya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hilo la Kiarabu kwa miaka kadhaa sasa.
-
Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel
Jan 10, 2017 04:43Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwandikia barua Rais mteule wa Marekani Donald Trump na kumuonya juu ya taathira hasi za pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.
-
Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kushikamana na wananchi wa Palestina
Jan 09, 2017 12:32Rais wa Afrika Kusini ametoa mwito wa wananchi wa nchi hiyo kushikamana na kufungamana na wananchi wa Palestina.
-
Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina
Jan 07, 2017 03:42Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.
-
Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel
Jan 03, 2017 10:16Jamii ya kimataifa imeipongeza Senegal kwa kuunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel
Jan 03, 2017 03:37Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limebainisha wasiwasi wake juu ya mauaji na jinai zinazotekelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.