Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Muungano wa Mabunge ya Kiislamu wasisitiza himaya yake kwa taifa la Palestina

    Muungano wa Mabunge ya Kiislamu wasisitiza himaya yake kwa taifa la Palestina

    Jan 29, 2017 00:23

    Washiriki wa mkutano wa Muungano wa Mabunge ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wamesisitiza juu ya udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa la Palestina mkabala na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.

  • Israel yadharau azimio la UN; yaidhinisha ujenzi wa nyumba mpya 566

    Israel yadharau azimio la UN; yaidhinisha ujenzi wa nyumba mpya 566

    Jan 22, 2017 12:53

    Mamlaka za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimeidhinisha vibali vya ujenzi wa nyumba mpya 566 za walowezi wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas Mashariki unaoukalia kwa mabavu.

  • Quds ni mstari mwekundu kwa Waislamu wote

    Quds ni mstari mwekundu kwa Waislamu wote

    Jan 20, 2017 00:52

    Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO amesisitiza kuwa mji mtakatifu wa Quds ni mstari mwekundu kwa Wapalestina, kwa ulimwengu wa Kiarabu, kwa Waislamu na pia kwa Wakristo ulimwenguni.

  • Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Jan 16, 2017 23:34

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.

  • Mali yasema msimamo wake na Iran ni mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Mali yasema msimamo wake na Iran ni mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Jan 11, 2017 12:00

    Rais wa Bunge la Kitaifa la Mali amesema msimamo wa nchi yake kuhusu kadhia ya Palestina unafanana na wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na amekashifu mienendo ya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hilo la Kiarabu kwa miaka kadhaa sasa.

  • Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel

    Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel

    Jan 10, 2017 04:43

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwandikia barua Rais mteule wa Marekani Donald Trump na kumuonya juu ya taathira hasi za pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.

  • Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kushikamana na wananchi wa Palestina

    Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kushikamana na wananchi wa Palestina

    Jan 09, 2017 12:32

    Rais wa Afrika Kusini ametoa mwito wa wananchi wa nchi hiyo kushikamana na kufungamana na wananchi wa Palestina.

  • Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina

    Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina

    Jan 07, 2017 03:42

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.

  • Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jan 03, 2017 10:16

    Jamii ya kimataifa imeipongeza Senegal kwa kuunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel

    Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel

    Jan 03, 2017 03:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limebainisha wasiwasi wake juu ya mauaji na jinai zinazotekelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS