Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina

    Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina

    Jan 01, 2017 04:35

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekaribisha hatua ya hivi karibuni ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kupasisha azimio dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa 2017 utakuwa mwaka wa Palestina kujitangazia uhuru wake.

  • Palestina yaitaka UN kutekeleza azimio nambari 2334 dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi

    Palestina yaitaka UN kutekeleza azimio nambari 2334 dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi

    Dec 31, 2016 11:23

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutekelezwa azimio la umoja huo kuhusu kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kihayudi unaofanywa na Israel katika ardhi inazozikalia kwa mabavu.

  • Mapambano, njia pekee ya kuikomboa Palestina

    Mapambano, njia pekee ya kuikomboa Palestina

    Dec 31, 2016 00:19

    Mkuu wa Tume ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema mazungumzo baina ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel hayatazaa matunda na kwamba njia pekee ya kuikomboa Palestina ni kupitia mapambano au muqawama.

  • UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka  mno

    UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno

    Dec 30, 2016 01:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel

    Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel

    Dec 25, 2016 04:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio dhidi ya Israel, ushindi kwa Palestina

    Baraza la Usalama lapasisha azimio dhidi ya Israel, ushindi kwa Palestina

    Dec 24, 2016 04:08

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutaka kusimamishwa mara moja ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • 'Misri haikushauriana na Palestina kuhusu kutowasilisha UN rasimu ya azimio dhidi ya Israel'

    'Misri haikushauriana na Palestina kuhusu kutowasilisha UN rasimu ya azimio dhidi ya Israel'

    Dec 23, 2016 23:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametangaza kuwa, kwa ombi la Misri, upigaji kura katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa rasimu ya azimio la kutaka kusimamishwa mara moja ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni umeakhirishwa.

  • EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Dec 21, 2016 10:54

    Umoja wa Ulaya EU na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimelaani hatua ya utawala ghasibu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Ban Ki-moon apuuza Palestina katika siku zake za mwisho

    Ban Ki-moon apuuza Palestina katika siku zake za mwisho

    Dec 19, 2016 04:50

    Wakati zikiwa zimebakia wiki mbili tu hadi kung'atuka madarakani kama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amethibitisha tena kwamba, jumuiya hiyo ya kimataifa imeshindwa kuwa na nafasi na mchango muhimu katika mgogoro wa Palestina.

  • PLO yaionya Marekani kuhusu kuhamishia ubalozi Quds Tukufu

    PLO yaionya Marekani kuhusu kuhamishia ubalozi Quds Tukufu

    Dec 17, 2016 04:24

    Afisa wa ngazi za juu katika Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO amemuonya rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Qud Tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS