• Kiwango cha umasikini Palestina kimeongezeka

    Kiwango cha umasikini Palestina kimeongezeka

    Oct 18, 2016 11:48

    Taasisi ya haki za binadamu ya Al-Mizaan imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ndio msababishaji mkuu wa ongezeko la umasikini walionao Wapalestina.

  • Wazayuni waendelea kuua watoto wadogo Palestina

    Wazayuni waendelea kuua watoto wadogo Palestina

    Oct 17, 2016 23:41

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendelea kufanya jinai dhidi ya Wapalestina kwa kuwashambulia, kuwaua na kuwateka nyara watoto wadogo wa Kipalestina.

  • UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Oct 15, 2016 04:40

    Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimekosoa vikali kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Palestina yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa Umoja wa Mataifa

    Palestina yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa Umoja wa Mataifa

    Oct 09, 2016 23:14

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetuma ripoti kwa Umoja wa Mataifa ikiushitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukanyaga sheria zote za kimataifa.

  • Iran yawapongeza wanamapambano wa Palestina

    Iran yawapongeza wanamapambano wa Palestina

    Oct 03, 2016 04:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza wanamapambano wa Palestina, wananchi na makundi yote ya taifa hilo kwa muqawama na kusimama kwao kidete kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Zarif akosoa masharti ya Ujerumani kwa Iran

    Zarif akosoa masharti ya Ujerumani kwa Iran

    Oct 02, 2016 04:43

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Uchumi wa Ujerumani aliyesema kuwa Berlin inaweza kuimarisha uhusiano wake na Tehran kwa sharti kuwa Jamhuri ya Kiislamu iutambue utawala haramu wa Israel.

  • Ofisa wa Palestina akamatwa kwa kumkosoa Mahmoud Abbas

    Ofisa wa Palestina akamatwa kwa kumkosoa Mahmoud Abbas

    Oct 02, 2016 04:37

    Vikosi vya usalama vya Palestina vimemkamata ofisa mmoja wa jeshi baada ya kukosoa hatua ya Mamhoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuhudhuria mazishi ya Shimon Peres, rais wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran kwa Ujerumani: Katu hatutaacha kuiunga mkono Palestina

    Iran kwa Ujerumani: Katu hatutaacha kuiunga mkono Palestina

    Oct 01, 2016 04:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu nchi hii haitoacha kuiunga mkono Palestina.

  • Mahmoud Abbas azidi kulaumiwa kwa kushiriki maziko ya Peres

    Mahmoud Abbas azidi kulaumiwa kwa kushiriki maziko ya Peres

    Oct 01, 2016 00:52

    Makundi mbalimbali ya Palestina yameendelea kumlaumu Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa kushiriki kwenye maziko ya nduli wa Israel, Shimon Peres, rais wa zamani wa utawala wa Kizayuni.

  • Sisitizo la Wapalestina la kuendelea na muqawama

    Sisitizo la Wapalestina la kuendelea na muqawama

    Sep 29, 2016 10:07

    Kwa mara nyingine tena, Wapalestina wametumia mnasaba mwingine uliojitokeza kutangaza uungaji mkono wao kwa muqawama hadi watakapofanikisha malengo yote ya taifa lao. Mara hii wapalestina hao wamesisitiza uungaji mkono wao huo wakati wa maadhimisho ya mwaka wa 16 wa kukumbuka Intifadha ya al Aqsa.