Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati

    Nov 02, 2016 03:46

    Matatizo yote ya kiusalama yaliyopo hivi sasa katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati yanatokana na tangazo la Balfour.

  • Israel imebomoa nyumba 780 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi mwaka huu wa 2016

    Israel imebomoa nyumba 780 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi mwaka huu wa 2016

    Oct 28, 2016 23:09

    Utawala haramu wa Israel umeharibu nyumba 780 za Wapalestina katika eneo unalolikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan tokea mwanzoni mwa mwaka huu wa 2016.

  • Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja

    Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja

    Oct 28, 2016 10:34

    Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka ya ndani ya Palestina ameshiriki katika mkutano nadra na viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.

  • Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel

    Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel

    Oct 25, 2016 04:49

    Harakati ya Mapambano wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Avigdor Lieberman, akidai kuwa utawala huo utausambaratisha muqawama wa Wapalestina.

  • Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Oct 21, 2016 10:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasi wasi wake mkubwa baada ya vikosi vya utawala wa Bahrain kuvamia ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq na kusema hatua kama hizo dhidi ya wapinzani ni kosa la kistraitjia.

  • Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Oct 20, 2016 10:30

    Chama cha Kiislamu cha al-Wefaq cha Bahrain kimesema hakuna nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo na kusisitiza kuwa wananchi wa Bahrain wataendelea kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Kiwango cha umasikini Palestina kimeongezeka

    Kiwango cha umasikini Palestina kimeongezeka

    Oct 18, 2016 11:48

    Taasisi ya haki za binadamu ya Al-Mizaan imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ndio msababishaji mkuu wa ongezeko la umasikini walionao Wapalestina.

  • Wazayuni waendelea kuua watoto wadogo Palestina

    Wazayuni waendelea kuua watoto wadogo Palestina

    Oct 17, 2016 23:41

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendelea kufanya jinai dhidi ya Wapalestina kwa kuwashambulia, kuwaua na kuwateka nyara watoto wadogo wa Kipalestina.

  • UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Oct 15, 2016 04:40

    Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimekosoa vikali kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Palestina yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa Umoja wa Mataifa

    Palestina yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa Umoja wa Mataifa

    Oct 09, 2016 23:14

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetuma ripoti kwa Umoja wa Mataifa ikiushitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukanyaga sheria zote za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS