-
Tangazo la Balfour, chanzo cha ukosefu wa amani Mashariki ya Kati
Nov 02, 2016 03:46Matatizo yote ya kiusalama yaliyopo hivi sasa katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati yanatokana na tangazo la Balfour.
-
Israel imebomoa nyumba 780 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi mwaka huu wa 2016
Oct 28, 2016 23:09Utawala haramu wa Israel umeharibu nyumba 780 za Wapalestina katika eneo unalolikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan tokea mwanzoni mwa mwaka huu wa 2016.
-
Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja
Oct 28, 2016 10:34Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka ya ndani ya Palestina ameshiriki katika mkutano nadra na viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.
-
Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel
Oct 25, 2016 04:49Harakati ya Mapambano wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Avigdor Lieberman, akidai kuwa utawala huo utausambaratisha muqawama wa Wapalestina.
-
Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq
Oct 21, 2016 10:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasi wasi wake mkubwa baada ya vikosi vya utawala wa Bahrain kuvamia ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq na kusema hatua kama hizo dhidi ya wapinzani ni kosa la kistraitjia.
-
Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina
Oct 20, 2016 10:30Chama cha Kiislamu cha al-Wefaq cha Bahrain kimesema hakuna nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo na kusisitiza kuwa wananchi wa Bahrain wataendelea kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Kiwango cha umasikini Palestina kimeongezeka
Oct 18, 2016 11:48Taasisi ya haki za binadamu ya Al-Mizaan imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ndio msababishaji mkuu wa ongezeko la umasikini walionao Wapalestina.
-
Wazayuni waendelea kuua watoto wadogo Palestina
Oct 17, 2016 23:41Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendelea kufanya jinai dhidi ya Wapalestina kwa kuwashambulia, kuwaua na kuwateka nyara watoto wadogo wa Kipalestina.
-
UN yalaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Oct 15, 2016 04:40Kikao maalumu cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimekosoa vikali kuendelezwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Palestina yaushtaki utawala wa Kizayuni kwa Umoja wa Mataifa
Oct 09, 2016 23:14Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetuma ripoti kwa Umoja wa Mataifa ikiushitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukanyaga sheria zote za kimataifa.