-
Iran yawapongeza wanamapambano wa Palestina
Oct 03, 2016 04:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza wanamapambano wa Palestina, wananchi na makundi yote ya taifa hilo kwa muqawama na kusimama kwao kidete kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Zarif akosoa masharti ya Ujerumani kwa Iran
Oct 02, 2016 04:43Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Uchumi wa Ujerumani aliyesema kuwa Berlin inaweza kuimarisha uhusiano wake na Tehran kwa sharti kuwa Jamhuri ya Kiislamu iutambue utawala haramu wa Israel.
-
Ofisa wa Palestina akamatwa kwa kumkosoa Mahmoud Abbas
Oct 02, 2016 04:37Vikosi vya usalama vya Palestina vimemkamata ofisa mmoja wa jeshi baada ya kukosoa hatua ya Mamhoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuhudhuria mazishi ya Shimon Peres, rais wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran kwa Ujerumani: Katu hatutaacha kuiunga mkono Palestina
Oct 01, 2016 04:35Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu nchi hii haitoacha kuiunga mkono Palestina.
-
Mahmoud Abbas azidi kulaumiwa kwa kushiriki maziko ya Peres
Oct 01, 2016 00:52Makundi mbalimbali ya Palestina yameendelea kumlaumu Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa kushiriki kwenye maziko ya nduli wa Israel, Shimon Peres, rais wa zamani wa utawala wa Kizayuni.
-
Sisitizo la Wapalestina la kuendelea na muqawama
Sep 29, 2016 10:07Kwa mara nyingine tena, Wapalestina wametumia mnasaba mwingine uliojitokeza kutangaza uungaji mkono wao kwa muqawama hadi watakapofanikisha malengo yote ya taifa lao. Mara hii wapalestina hao wamesisitiza uungaji mkono wao huo wakati wa maadhimisho ya mwaka wa 16 wa kukumbuka Intifadha ya al Aqsa.
-
Mahmoud Abbas akariri madai ya kujiuzulu
Sep 28, 2016 04:22Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa mara nyingine amekariri madai yake ya kujiuzulu wadhifa huo.
-
Israel yataka kupitisha sheria ya kuwanyonga mateka wa Kipalestina
Sep 21, 2016 00:06Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel amemtaka Waziri wa Vita wa utawala huo haramu Avigdor Lieberman atimize ahadi aliyotoa ya kupitisha sheria ya kuwanyonga Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye magereza ya utawala huo.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalaumiwa kwa kushirikiana kiusalama na Israel
Sep 19, 2016 22:13Kiongozi mmoja wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema harakati hiyo imesikitishwa na hatua ya Mamlaka ya Ndani ya kushirikiana kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel huku utawala huo haramu ukiendelea kuwaua Wapalestina.
-
Kushtadi jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina
Sep 17, 2016 03:39Ripoti zinaarifu kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha jinai na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya raia wa Palestina na katika fremu hiyo Wapalestina wanne wameuliwa shahidi kwa kupigwa risasi.