-
Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi
Jul 17, 2016 11:23Duru za Palestina zimetangaza kuwa, ujumbe wa kiuchumi wa Wapalestina unashiriki katika Mkutano wa 14 wa Biashara na Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCTAD) unaofanyika mjini Nairobi Kenya.
-
Wazayuni waendelea kuwatia mbaroni raia wa Palestina
Jul 17, 2016 03:24Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds inayokaliwa kwa mabavu na kisha kuwatia mbaroni raia kadhaa wa Kipalestina.
-
Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda
Jul 16, 2016 11:32Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, leo Jumamosi ameelekea mjini Kigali Rwanda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa nchi za Umoja wa Afrika AU.
-
Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi
Jul 12, 2016 02:59Licha ya jamii ya kimataifa kulalamikia vikali mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina, kundi moja la wabunge wa utawala huo katili limekutana na kuhimiza kuongezwa mashinikizo ya kisiasa, kijeshi na kiuchumi dhidi ya Wapalestina.
-
Imam wa Al Aqsa: Wapalestina waungane ili wakabiliane na utawala wa Israel
Jul 06, 2016 09:42Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa al Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu ametoa wito kwa Wapalestina kuungana ili waweze kukabiliana na adui wao wa pamoja ambaye ni utawala ghasibu wa Israel.
-
Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu
Jul 06, 2016 03:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.
-
OIC yakosoa ripoti ya US, EU na UN kuhusu Palestina
Jul 03, 2016 02:56Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekosoa ripoti ya pande nne za Marekani, Russia, Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro wa Palestina na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, ripoti hiyo imeegemea upande wa kuiunga mkono Tel Aviv.
-
Ban Ki-moon: Israel iondoke katika ardhi ya Palestina
Jul 02, 2016 03:31Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa njia pekee ya kupatikana amani ya kudumu Mashariki ya Kati ni kuundwa dola la Palestina na kurejea Israel kwenye mipaka iliyokuwepo mwaka 1967.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani
Jun 29, 2016 23:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaka vyombo vya mahakama Iran kuchukua hatua imara zaidi katika kufuatilia haki za Iran zilizokiukwa kutokana na vikwazo kupitia vyombo vya mahakama vya kimataifa.
-
Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina
Jul 02, 2016 00:08Walimwengu wametakiwa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kupaza sauti za kupinga dhulma, unyanyasaji na mauaji yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.