Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Jul 17, 2016 11:23

    Duru za Palestina zimetangaza kuwa, ujumbe wa kiuchumi wa Wapalestina unashiriki katika Mkutano wa 14 wa Biashara na Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCTAD) unaofanyika mjini Nairobi Kenya.

  • Wazayuni waendelea kuwatia mbaroni raia wa Palestina

    Wazayuni waendelea kuwatia mbaroni raia wa Palestina

    Jul 17, 2016 03:24

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds inayokaliwa kwa mabavu na kisha kuwatia mbaroni raia kadhaa wa Kipalestina.

  • Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Jul 16, 2016 11:32

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, leo Jumamosi ameelekea mjini Kigali Rwanda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa nchi za Umoja wa Afrika AU.

  • Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi

    Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi

    Jul 12, 2016 02:59

    Licha ya jamii ya kimataifa kulalamikia vikali mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina, kundi moja la wabunge wa utawala huo katili limekutana na kuhimiza kuongezwa mashinikizo ya kisiasa, kijeshi na kiuchumi dhidi ya Wapalestina.

  • Imam wa Al Aqsa: Wapalestina waungane ili wakabiliane na utawala wa Israel

    Imam wa Al Aqsa: Wapalestina waungane ili wakabiliane na utawala wa Israel

    Jul 06, 2016 09:42

    Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa al Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu ametoa wito kwa Wapalestina kuungana ili waweze kukabiliana na adui wao wa pamoja ambaye ni utawala ghasibu wa Israel.

  • Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Jul 06, 2016 03:19

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.

  • OIC yakosoa ripoti ya US, EU na UN kuhusu Palestina

    OIC yakosoa ripoti ya US, EU na UN kuhusu Palestina

    Jul 03, 2016 02:56

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekosoa ripoti ya pande nne za Marekani, Russia, Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya kuhusu mgogoro wa Palestina na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, ripoti hiyo imeegemea upande wa kuiunga mkono Tel Aviv.

  • Ban Ki-moon: Israel iondoke katika ardhi ya Palestina

    Ban Ki-moon: Israel iondoke katika ardhi ya Palestina

    Jul 02, 2016 03:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa njia pekee ya kupatikana amani ya kudumu Mashariki ya Kati ni kuundwa dola la Palestina na kurejea Israel kwenye mipaka iliyokuwepo mwaka 1967.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Iran ifuatilie haki zake zilizokiukwa na Marekani

    Jun 29, 2016 23:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaka vyombo vya mahakama Iran kuchukua hatua imara zaidi katika kufuatilia haki za Iran zilizokiukwa kutokana na vikwazo kupitia vyombo vya mahakama vya kimataifa.

  • Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Jul 02, 2016 00:08

    Walimwengu wametakiwa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kupaza sauti za kupinga dhulma, unyanyasaji na mauaji yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS