Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel katika 'Mauaji ya Sabra na Shatila'

    Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel katika 'Mauaji ya Sabra na Shatila'

    Sep 16, 2016 10:00

    Leo Ijumaa tarehe 16 Septemba ni kumbukumbu ya ukatili wa kinyama uliotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kambi za Wapalestina za Sabra na Shatila mjini Beirut Lebanon.

  • Israel, chanzo cha kushadidi hali mbaya ya kiuchumi Palestina

    Israel, chanzo cha kushadidi hali mbaya ya kiuchumi Palestina

    Sep 10, 2016 03:03

    Mashirika ya Kimataifa yameonya kuhusu kudorora kwa kiasi kikubwa uchumi wa ardhi za Palestina kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Makundi ya Kizayuni yataka kuhitimishwa kukaliwa kwa mabavu Palestina

    Makundi ya Kizayuni yataka kuhitimishwa kukaliwa kwa mabavu Palestina

    Sep 07, 2016 23:31

    Makundi kadhaa ya Wazayuni yametaka kukomeshwa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Utawala wa Kizayuni washambulia kwa mizinga Ukanda wa Ghaza

    Utawala wa Kizayuni washambulia kwa mizinga Ukanda wa Ghaza

    Sep 06, 2016 02:58

    Kikosi cha mizinga cha utawala wa Kizayuni wa Israel kimefanya mashambulizi katika eneo la kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

  • Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Sep 05, 2016 02:56

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.

  • Palestina yaitaka dunia ikomeshe jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Palestina yaitaka dunia ikomeshe jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sep 03, 2016 11:43

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo uliyowapora Wapalestina.

  • Jihad Islami Palestina kuendeleza mapambano ya kukomboa Quds

    Jihad Islami Palestina kuendeleza mapambano ya kukomboa Quds

    Sep 02, 2016 10:27

    Afisa wa ngazi za juu wa harakati ya kupigania ukombozi Palestina ya Jihad Islami amesisitiza udharura wa kuendelezwa mapambano na mwamko (Intifadha) dhidi ya utawala ghasibu wa Israel ili kukomboa ardhi zote za Palestina hasa Quds Tukufu (Jerusalem).

  • Mamia ya Wapalestina wametekwa nyara na wanajeshi wa Israel mwezi uliopita

    Mamia ya Wapalestina wametekwa nyara na wanajeshi wa Israel mwezi uliopita

    Sep 01, 2016 23:45

    Taasisi na duru mbalimbali zinazoshughulikia masuala ya mateka wa Kipalestina wamesema kuwa, Wapalestina 516 wametekwa nyara na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mwezi uliopita katika mikoa mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Viongozi wa Palestina kufuatilia haki za Wapalestina waliowekwa kizuizini na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Viongozi wa Palestina kufuatilia haki za Wapalestina waliowekwa kizuizini na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 27, 2016 03:19

    Waziri anayehusika na masuala ya Wapalestina walioko kizuizini kwenye jela za utawala wa Kizayuni ametangaza kuwa suala la watu hao litafuatiliwa kwa uzito mkubwa kwenye jumuiya za kimataifa.

  • Onyo la Wapalestina kwa utawala ghasibu wa Israel

    Onyo la Wapalestina kwa utawala ghasibu wa Israel

    Aug 24, 2016 02:00

    Kushadidi uvamizi na hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza katika siku za hivi karibuni, kumekabiliwa na radiamali mbalimbali za Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS