Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran yamkosoa Mahmoud Abbas kwa kufanya kikao na MKO

    Iran yamkosoa Mahmoud Abbas kwa kufanya kikao na MKO

    Aug 02, 2016 02:57

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkosoa vikali Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa kufanya mazungumzo na mkuu wa kundi la kigaidi la Munafikina (MKO).

  • Afrika Kusini yatangaza utayari wa kusimamia mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Afrika Kusini yatangaza utayari wa kusimamia mazungumzo ya maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Jul 31, 2016 03:09

    Afrika Kusini imetangaza kuwa iko tayari kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya kufikia maridhiano ya kitaifa baina ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) na harakati ya Fat-h.

  • Mash'al: Upo udharura kwa Wapalestina kuwa kitu kimoja

    Mash'al: Upo udharura kwa Wapalestina kuwa kitu kimoja

    Jul 29, 2016 22:09

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza kuwa damu za mashahidi wa Kipalestina zinatilia mkazo kuwepo umoja kwa lengo la kupambana na adui Mzayuni.

  • Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na  kujitanua vya Israel

    Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na kujitanua vya Israel

    Jul 26, 2016 03:23

    Umoja wa Mataifa na viongozi wa Palestina wamelaani vikali mipango ya Israel ya kupanua ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Putin ataka kuundwa nchi huru ya Palestina

    Putin ataka kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jul 25, 2016 09:53

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina mji mkuu wake ukiwa Quds tukufu.

  • Mgomo wa chakula, radiamali ya mateka wa Palestina kwa mashinikizo ya Israel

    Mgomo wa chakula, radiamali ya mateka wa Palestina kwa mashinikizo ya Israel

    Jul 19, 2016 02:56

    Kuongezeka mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala huo ghasibu, kumewalazimisha Wapalestina hao watumia njia pekee waliyobaki nayo, ya kugoma kula chakula.

  • Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Jul 17, 2016 11:23

    Duru za Palestina zimetangaza kuwa, ujumbe wa kiuchumi wa Wapalestina unashiriki katika Mkutano wa 14 wa Biashara na Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCTAD) unaofanyika mjini Nairobi Kenya.

  • Wazayuni waendelea kuwatia mbaroni raia wa Palestina

    Wazayuni waendelea kuwatia mbaroni raia wa Palestina

    Jul 17, 2016 03:24

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds inayokaliwa kwa mabavu na kisha kuwatia mbaroni raia kadhaa wa Kipalestina.

  • Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina atembelea Rwanda

    Jul 16, 2016 11:32

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, leo Jumamosi ameelekea mjini Kigali Rwanda kwa ajili ya kushiriki mkutano wa nchi za Umoja wa Afrika AU.

  • Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi

    Sisitizo la chama cha Likud la kuuliwa Wapalestina zaidi

    Jul 12, 2016 02:59

    Licha ya jamii ya kimataifa kulalamikia vikali mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina, kundi moja la wabunge wa utawala huo katili limekutana na kuhimiza kuongezwa mashinikizo ya kisiasa, kijeshi na kiuchumi dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS