-
Matamshi ya viongozi wa Iran katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jul 01, 2016 10:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa taifa la Iran litaendelea kuunga mkono vilivyo haki za wananchi madhlumu wa Palestina na kueleza kuwa Tehran kamwe haitawaacha peke yao wananchi na muqawama wa Palestina mbele ya utawala katili wa Kizayuni.
-
Siku ya Quds, Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas
Jun 29, 2016 03:18Idadi kadhaa ya wanazuoni na wanasiasa wa Ulimwengu wa Kiislamu wameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa ni Siku ya kuikomboa Baitul Muqaddas na kuwaunga mkono waliodhulumiwa.
-
Siku ya Kimataifa ya Quds: Palestina, Kadhia Kuu ya Waislamu Duniani
Jun 28, 2016 23:57Mbunge wa ngazi za juu nchini Iran amesema kadhia ya Palestina ndio muhimu zaidi kwa Waislamu na hivyo ametoa wito wa ushiriki mkubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Ban: Israel inawaumiza Wapalestina kwa mzingiro wake Ghaza
Jun 28, 2016 23:56Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amelaani mzingiro wa Israel huko Ukanda wa Ghaza na kusema unawaumiza Wapalestina na kuharibu uchumi wao.
-
Jeshi la Iran launga mkono Intifadha ya Palestina
Jun 28, 2016 09:35Kamandi ya Majeshi yote ya Iran imetoa wito kwa watu wote katika ulimwengu wa Kiislamu kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa hii.
-
Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina
Jun 28, 2016 03:17Kundi la nchi 54 za bara Afrika limekosoa vikali ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.
-
Wasiwasi kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina
Jun 26, 2016 02:50Kufuatia kushadidi ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto Wapalestina, kumekuwepo wasiwasi na malalamiko makubwa miongoni mwa Wapalestina na jamii ya kimataifa.
-
Familia: Israel inazuia miili ya Wapalestina wanaowaua
Jun 23, 2016 03:33Familia za Wapalestina waliouawa shahidi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano kuutaka utawala wa Tel Aviv kuwapa miili ya wapendwa wao huku wakitaja sera hiyo ya kuzuia miili kuwa 'jinai na mateso kwa walio hai na waliokufa'.
-
Utawala wa Kizayuni wamuua shahidi Mpalestina, waharibu nyumba
Jun 21, 2016 03:29Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wamempiga risasi na kumuua shahidi kijana Mpalestina kwa kosa la kurushia gari lao jiwe na baada ya hapo kuharibu nyumba ya Mpalestina mwingine katika Ukingo wa Magharibi.
-
Makumi ya wafungwa wa Palestina wafanya mgomo wa kula katika korokoro za Israel
Jun 20, 2016 23:16Wafungwa wasiopungua 65 wanaoshikiliwa katika korokoro za Israel wanafanya mgomo wa kula wakipinga hatua ya utawala huo wa Kizayuni kundelea kuwashirikia kizuizini na vilevile kuonesha mshikamano na mfungwa mwenzao.