Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Israel yatenga $18M za ujenzi wa vitongoji vipya Palestina

    Israel yatenga $18M za ujenzi wa vitongoji vipya Palestina

    Jun 20, 2016 02:38

    Utawala haramu wa Israel umeidhinisha dola milioni 18 za Marekani zitakazotumiwa katika ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina unazozikalia kwa mabavu.

  • HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja

    HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja

    Jun 17, 2016 00:12

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema wana matumaini ya kufunguliwa moja kwa moja kivuko cha Rafah ambacho ni kivuko muhimu zaidi kinachounganisha eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina na ulimwengu wa nje.

  • Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jun 15, 2016 02:48

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakatia huduma za maji Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan licha ya joto kali na hitajio kubwa la bidhaa hiyo muhimu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha

    HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha

    Jun 11, 2016 11:00

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesistiza kuwa kitendo cha askari wa utawala wa Kizayuni cha kuwatia nguvuni Wapalestina kitashamirisha na kupanua zaidi Intifadha ya Quds.

  • UN yaikosoa Israel kuwakataza Wapalestina kuingia katika ardhi zao

    UN yaikosoa Israel kuwakataza Wapalestina kuingia katika ardhi zao

    Jun 10, 2016 23:19

    Umoja wa Mataifa umeukosoa utawala haramu wa Israel kwa kuwazuia Wapalestina kuingia na kutembea katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Jun 09, 2016 09:25

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapiga marufuku Wapalestina kutembeleana na kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu, katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, kufuatia shambulizi dhidi ya Tel Aviv.

  • Palestina: Ni kinaya kuteuliwa Israel kuongoza kamati ya UN

    Palestina: Ni kinaya kuteuliwa Israel kuongoza kamati ya UN

    Jun 08, 2016 23:12

    Afisa wa ngazi za juu wa Palestina ameitaja kama kichekesho na kinaya, hatua ya kuteuliwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa mwenyekiti wa kamati ya Umoja wa Mataifa.

  • Radiamali mbalimbali kuhusu kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Israel

    Radiamali mbalimbali kuhusu kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Israel

    Jun 08, 2016 01:40

    Harakati ya Hizbullahi ya Lebanon imelaani kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Wazayuni na kusema kukwa, kimya hicho ni mkamilishaji wa siasa za kuwa na uhusiano wa kawaida kati ya nchi hizo na Israel.

  • Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa

    Jun 06, 2016 02:59

    Maelfu ya walowezi wa Kizayuni wamefanya maandamano ya kutiliwa shaka mashariki mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel na kuzusha hali ya taharuki katika eneo hilo.

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi mwanamke wa Palestina

    Jeshi la Israel lamuua shahidi mwanamke wa Palestina

    Jun 02, 2016 10:21

    Askari wa jeshi katili la utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi mwanamke wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hii leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS