-
Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atishia Waislamu kupoteza kikamilifu fursa ya kutumia Masjidul-Aqsa
Jun 02, 2016 03:19Kiongozi wa kidini wa Wazayuni Rabi Yehuda Glick amesema kukataa kugawanywa msikiti wa Al- Aqsa baina ya Waislamu na Mayahudi kutakuwa sawa na kufutwa kikamilifu haki ya Waislamu ya kutumia msikiti huo.
-
Bunge la Kiarabu lataka kuundwa nchi ya Palestina
May 30, 2016 10:58Bunge la Kiarabu limeutaka Umoja wa Mataifa uhakikishe inaundwa nchi ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Baitul- Muqaddas. Bunge la Kiarabu limetoa wito huo katika kikao kilichofanyika katika makao makuu ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu huko Cairo, Misri.
-
Mazungumzo ya mapatano; mchakato wenye uhakika wa kufeli
May 30, 2016 02:30Katika muendelezo wa radiamali na hisia zinazoonyeshwa na fikra za wananchi pamoja na makundi ya muqawama ya Palestina kuhusiana na harakati zenye lengo la kufufua mazungumzo ya mapatano kati ya Mamlaka ya Ndani na utawala wa Kizayuni, harakati ya Jihadul Islami ya Palestina, nayo pia imesisitiza kuwa mwisho wa mazungumzo hayo ni kugonga mwamba na kufeli tu.
-
Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina
May 29, 2016 23:56Utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake ikiwemo Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu na Jordan zinapanga njama ya kumuondoa madarakani Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas.
-
Mazungumzo ya mapatano; mchakato wenye uhakika wa kufeli
May 29, 2016 23:51Katika muendelezo wa radiamali na hisia zinazoonyeshwa na fikra za wananchi pamoja na makundi ya muqawama ya Palestina kuhusiana na harakati zenye lengo la kufufua mazungumzo ya mapatano kati ya Mamlaka ya Ndani na utawala wa Kizayuni, harakati ya Jihadul Islami ya Palestina, nayo pia imesisitiza kuwa mwisho wa mazungumzo hayo ni kugonga mwamba na kufeli tu.
-
Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina
May 29, 2016 02:55Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amekaribisha juhudi zozote zenye lengo la kufanikisha umoja wa kitaifa na kuhitimisha mgawanyiko na hitilafu za ndani kati ya Wapalestina.
-
Mahmoud Abbas asisitiza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa Palestina
May 28, 2016 23:43Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametaka kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa ambayo itafanya kazi kulingana na ratiba na mipango ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO).
-
Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel
May 27, 2016 03:21Uholanzi imekataa wito wa utawala wa kibaguzi wa Israel wa kupiga marufuku kampeni inayozidi kupanuka ya kimataifa ya kutaka walimwengu wasusie bidhaa za Israel.
-
Palestina: Baraza jipya la mawaziri la Israel tishio kwa eneo
May 25, 2016 09:56Katibu Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, baraza jipya la mawaziri la utawala haramu wa Israel ni tishio kwa usalama na utulivu wa eneo zima la Mashariki ya Kati.
-
Mamlaka ya Palestina yakataa takwa la Israel la mazungumzo ya ana kwa ana
May 24, 2016 11:50Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Rami Hamdallah amekataa takwa la utawala wa Kizayuni wa Israel la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na mamlaka hiyo.