Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atishia Waislamu kupoteza kikamilifu fursa ya kutumia Masjidul-Aqsa

    Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atishia Waislamu kupoteza kikamilifu fursa ya kutumia Masjidul-Aqsa

    Jun 02, 2016 03:19

    Kiongozi wa kidini wa Wazayuni Rabi Yehuda Glick amesema kukataa kugawanywa msikiti wa Al- Aqsa baina ya Waislamu na Mayahudi kutakuwa sawa na kufutwa kikamilifu haki ya Waislamu ya kutumia msikiti huo.

  • Bunge la Kiarabu lataka kuundwa nchi ya Palestina

    Bunge la Kiarabu lataka kuundwa nchi ya Palestina

    May 30, 2016 10:58

    Bunge la Kiarabu limeutaka Umoja wa Mataifa uhakikishe inaundwa nchi ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Baitul- Muqaddas. Bunge la Kiarabu limetoa wito huo katika kikao kilichofanyika katika makao makuu ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu huko Cairo, Misri.

  • Mazungumzo ya mapatano; mchakato wenye uhakika wa kufeli

    Mazungumzo ya mapatano; mchakato wenye uhakika wa kufeli

    May 30, 2016 02:30

    Katika muendelezo wa radiamali na hisia zinazoonyeshwa na fikra za wananchi pamoja na makundi ya muqawama ya Palestina kuhusiana na harakati zenye lengo la kufufua mazungumzo ya mapatano kati ya Mamlaka ya Ndani na utawala wa Kizayuni, harakati ya Jihadul Islami ya Palestina, nayo pia imesisitiza kuwa mwisho wa mazungumzo hayo ni kugonga mwamba na kufeli tu.

  • Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    May 29, 2016 23:56

    Utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake ikiwemo Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu na Jordan zinapanga njama ya kumuondoa madarakani Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas.

  • Mazungumzo ya mapatano; mchakato wenye uhakika wa kufeli

    Mazungumzo ya mapatano; mchakato wenye uhakika wa kufeli

    May 29, 2016 23:51

    Katika muendelezo wa radiamali na hisia zinazoonyeshwa na fikra za wananchi pamoja na makundi ya muqawama ya Palestina kuhusiana na harakati zenye lengo la kufufua mazungumzo ya mapatano kati ya Mamlaka ya Ndani na utawala wa Kizayuni, harakati ya Jihadul Islami ya Palestina, nayo pia imesisitiza kuwa mwisho wa mazungumzo hayo ni kugonga mwamba na kufeli tu.

  • Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina

    Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina

    May 29, 2016 02:55

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amekaribisha juhudi zozote zenye lengo la kufanikisha umoja wa kitaifa na kuhitimisha mgawanyiko na hitilafu za ndani kati ya Wapalestina.

  • Mahmoud Abbas asisitiza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa Palestina

    Mahmoud Abbas asisitiza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa Palestina

    May 28, 2016 23:43

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametaka kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa ambayo itafanya kazi kulingana na ratiba na mipango ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO).

  • Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel

    Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel

    May 27, 2016 03:21

    Uholanzi imekataa wito wa utawala wa kibaguzi wa Israel wa kupiga marufuku kampeni inayozidi kupanuka ya kimataifa ya kutaka walimwengu wasusie bidhaa za Israel.

  • Palestina: Baraza jipya la mawaziri la Israel tishio kwa eneo

    Palestina: Baraza jipya la mawaziri la Israel tishio kwa eneo

    May 25, 2016 09:56

    Katibu Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, baraza jipya la mawaziri la utawala haramu wa Israel ni tishio kwa usalama na utulivu wa eneo zima la Mashariki ya Kati.

  • Mamlaka ya Palestina yakataa takwa la Israel la mazungumzo ya ana kwa ana

    Mamlaka ya Palestina yakataa takwa la Israel la mazungumzo ya ana kwa ana

    May 24, 2016 11:50

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Rami Hamdallah amekataa takwa la utawala wa Kizayuni wa Israel la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na mamlaka hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS