-
Bunge la Ureno launga mkono 'Mshikamano na Taifa la Palestina'
May 17, 2016 03:22Bunge la Ureno limepitisha kwa wingi mkubwa wa kura rasimu ya mpango wa kuonesha mshikamano na taifa la Palestina na kulaani ukiukaji wa haki zao za msingi unaofanywa katika ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wapalestina waandamana Siku ya Nakba, wasisitiza mapambano dhidi ya Israel
May 15, 2016 23:05Wapalestina wameandamana Jumapili katika maeneo mbalimbali ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 68 tangu ulipoundwa utawala bandia na haramu wa Israel mwaka 1948.
-
Hizbullah itaendelea kuunga mkono taifa la Palestina katika mapambano dhidi ya Israel
May 15, 2016 09:43Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu kuendelea kuunga mkono mapambano ya taifa linalodhulumiwa la Palestina katika makabiliano yake na utawala ghasibu wa Israel unaokalia Quds Tukufu kwa mabavu.
-
Wazayuni washambulia Wapalestina Ghaza, Ukingo wa Magharibi
May 14, 2016 09:55Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni kwa kushirikiana walowezi wa Kizayuni wenye chuki za kidini na kitaifa, wamefanya mashambulizi katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan dhidi ya Wapalestina.
-
Maandamano ya Wapalestina kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu Palestina
May 13, 2016 23:21Leo Jumamosi tarehe 14 Mei, inasadifiana na kuwadia mwaka wa 68 tangu kuvamiwa na kuanza kukaliwa kwa mabavu Palestina; na tayari migomo na maandamano yameanza kufanyika katika pande zote mbili za ardhi za Palestina, kuanzia zile zilizoanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1948 na kupewa jina la Israel na zile zilizoanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1967 za Ukanda wa Gaza na Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Kasisi mmoja Mzayuni akumbwa na kashfa ya fedha, maadili
May 12, 2016 23:40Kasisi mmoja Mzayuni ambaye ni mtu wa karibu sana na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekumbwa na kashfa za fedha na maadili.
-
Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina
May 10, 2016 23:47Gazeti moja la kila siku la nchini Tanzania limeandika makala changanuzi kuhusu historia ya uungaji mkono wa Tanzania kwa taifa madhlumu la Palestina.
-
Livingstone: Kubuniwa Israel ni janga kubwa duniani
May 07, 2016 03:41Meya wa zamani wa London nchini Uingereza amesema kuanzishwa utawala haramu wa Israel ni janga kubwa la kihistroria ambalo taathira zake hasi zinaendelea kushuhudiwa.
-
Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali
May 06, 2016 23:50Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mashambulizi yake mapya katika Ukanda wa Gaza huku uvamizi huo mpya wa Tel Aviv katika eneo hilo ukiingia siku yake ya nne Jumamosi.
-
Israel yazuia wakaguzi wa UN kuchunguza mateso katika jela zake
May 05, 2016 04:10Utawala wa Kizayuni wa Israel umekaidi matakwa ya Umoja wa Mataifa ya kuchunguzwa mateso wanayoyapata Wapalestina katika jela za utawala huo dhalimu.